Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tunataka Brazil sasa 😂 😂 😎
Next weekend, the world cross country championships in Belgrade .. the whole world there including surprisingly our southern neighbor… they are well represented by full senior teams…. At least they will leave with Participation trophy…🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
BBC is a news house. Kazi ya media houses ni nini if not reporting news happening in different parts of the world?
Hatujapata habari kama hio kutoka air Tanzania au serekalini 😀😀😀😀 na nimejaribu kufanya booking SASA hvi china IPO so?? Sipendi kukuumiza ila pole plz
 
Any Time Cancellation Limited (ATCL) hata unajua ni nini?

ichoboy01 KQ is ready to take you back to your country. Don't worry about the flight charges cause KQ won't charge, lazima tuonee wakimbizi huruma.


View: https://twitter.com/KenyaAirways/status/1772632124132139314?s=19

Rudi kwenye Mada kwanza 🤣🤣🤣👇👇
Screenshots_2024-03-26-19-07-30.png
 
Do you know what operating profit is? Ama wewe unatuma tu links sense hata hunting zinamaanisha nini?
Kwani Tanzania haikupata profit in operating cost ilipungusa loss within one year by 50% from 60b to 35b 🤣🤣🤣🤣 munaona ajabu wakat Sisi tushafanya

View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1385870619141713921?t=Q1pmle-vbgfwcsNL38JIhQ&s=19


👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇

View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1641033231863611392?t=UIbEcs5p0FGyMQNoHcWn_Q&s=19
 
Back
Top Bottom