Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Juba tayar wametangaza q400 wazifanye kwa ajili ya ndani humuhumu alaf waongeze tena boeing 737-9max kama mbili hvi kwa ajili ya ndani Africa alaf wanunue na B777 hata mmoja kwa ajili ya masala ya mbali pia
Hapo kwenye B777 sishauri kabisa, ule mzigo unahitaji uwe na uhakika wa abiria. 787 ni very economical kwa ruti ndefu, waongeze nyingine hata mbili.

Humu ndani pia demand inazidi ongezeka, natumai msalato ikikamilika itakuwa hub, kutakuwa na ruti za Dom-mwanza, Dom-zanzibar, Dom-Arusha, Dom- Dar kwa hiyo q400 zitahitajika sana
 
Hapo kwenye B777 sishauri kabisa, ule mzigo unahitaji uwe na uhakika wa abiria. 787 ni very economical kwa ruti ndefu, waongeze nyingine hata mbili.

Humu ndani pia demand inazidi ongezeka, natumai msalato ikikamilika itakuwa hub, kutakuwa na ruti za Dom-mwanza, Dom-zanzibar, Dom-Arusha, Dom- Dar kwa hiyo q400 zitahitajika sana
Sijaona bado tofaut ya B777 na B787 zote long route lazma pia tuwe na taste tofaut kwenye airline hata B767 pia tunahitaji au airbus A320neo lazma twende na wakat tumechelewa sana tuko nyuma ya muda sana

Wanatakiwa wanunue q400 zakutosha na airbus A220 waongeze kwa ajili ya mwanza, Kilimanjaro, mbeya dodoma etc pia waangalie na taste ya ATR 72 ni ndege ngumu pia
 
FB_IMG_1711476663353.jpg
 
Hapo kwenye B777 sishauri kabisa, ule mzigo unahitaji uwe na uhakika wa abiria. 787 ni very economical kwa ruti ndefu, waongeze nyingine hata mbili.

Humu ndani pia demand inazidi ongezeka, natumai msalato ikikamilika itakuwa hub, kutakuwa na ruti za Dom-mwanza, Dom-zanzibar, Dom-Arusha, Dom- Dar kwa hiyo q400 zitahitajika sana
Yah 777 hata Ethiopia hawana, hiyo itahitajika mbele huko biashara ikishachangamka, mana ukiongelea b777 ni mdogo wake A380, kwa Afrika bado kdg lkn tunaelekea huko, sisi tupambane baadaye kdg tununue A350.
 
Yah 777 hata Ethiopia hawana, hiyo itahitajika mbele huko biashara ikishachangamka, mana ukiongelea b777 ni mdogo wake A380, kwa Afrika bado kdg lkn tunaelekea huko, sisi tupambane baadaye kdg tununue A350.
Hapana mdogo wa A380 ni B747-9 lakini kwa B777 ni kaka wa B787 dreamliner capacity wametofautiana sio mbali Sana
 
We Airbus A320 neo ukiweka order leo itachukua muda mrefu sana kuipata maana ndo ndege yenye order nyingi katika historia ya aviation, tujinunulie B737 Max ambayo nayo yana changamoto zisizoisha
 
Back
Top Bottom