Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizi siasa mbovu uchwara siyo poa
Lakini kwani kasema uongo? Au tatizo ni neno Samia hapo au? 🤪🤪
-854806385.jpg
 
Pesa ya marekani huwezi kupangia unachotaka wewe
Acheni uongo, Serikali inaweza kuja na vipaombele vyake Ili hao USA wa complement kwenye hayo maeneo.

Mbona Waziri Bashe aliwahi waambia NGOs kwamba wanakaribisha program za ufadhili wa Kilimo ila habari ya makongamano na semina hazikubaliki,pesa iende straight kwenye kazi.

Sijasema hayo maeneo pesa haihitajiki,inahitajika ila sio Kwa Ukubwa huo.

Huu ujinga nimeuona hata kwenye miradi ya WB mfano TACTIC& RISE yaani semina mwaka wa 2 huu kana kwamba unafundisha watu kitu ambacho ni kipya wakati ni Barabara hizi hizi tunajenga daily.40% ya pesa ya Mkopo inaishia kwenye posho.Huu upuuzi ufike mwisho.
 
Hii imekaaje kwa Uganda kutuuzia bidhaa za petroli??
Mbona Engine (kampuni ya Africa kusini) na Total( kampuni ya ufaransa) zinatuuzia mafuta hapa hapa Tanzania!!? Au Mt.meru ( kampuni ya kitanzania) inauza mafuta mengi tu kule Zambia??

Hakuna cha ajabu, muhimu ni kwamba tutapata kodi kwa mfuta yanayouzwa hapa na hayo mengi ya transit kwenda Uganda.

Uganda ni jirani zetu na ndugu zetu, hatuwezi kiwatupa. Kuna dili nyingi sana tunapiga. Kadili kamoja tu hakawezi kutuvuruga.
 
Back
Top Bottom