Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivyo ndivyo mnavyojiaminisha ila ukweli kwa ground ni tofauti. In the past 3 weeks alone, mmepokea misaada mara tatu kutoka kwa Wazungu. Bado mnasema hamjipendekezi. Hizo misaada mmepewa kisa mnaziitaji. Hadi kwa budget yenu mmeandika part of the budget will be funded by aid na bado mnajiaminisha eti hamuhitaji misaada. Wabongo bana. 🤣 🤣
Sasa si wanajileta ulitaka tukatae? Nyie Kundustan mtajipendekeza wewe ila bila bila
 
Sasa si wanajileta ulitaka tukatae? Nyie Kundustan mtajipendekeza wewe ila bila bila
Hadi kwa budget mmeandika part of the funds will come from aid na bado unasema wanajileta?🤣🤣🤣 Bro, stop living in denial. Tanzania is a poor country. Dirt poor. You and your Bongolala brothers on this forum have convinced yourselves Tanzania is rich and you keep lying to yourself. Huyu hapa Rais wenu akiomba EU msaada Hadi anatia Saini. Fungua link


 
Hadi kwa budget mmeandika part of the funds will come from aid na bado unasema wanajileta?🤣🤣🤣 Bro, stop living in denial. Tanzania is a poor country. Dirt poor. You and your Bongolala brothers on this forum have convinced yourselves Tanzania is rich and you keep lying to yourself. Huyu hapa Rais wenu akiomba EU msaada Hadi anatia Saini. Fungua link


Kwani Kundustan hampati budget support kutoka Kwa Bwana zenu?
 
You're the ones denying that you get aid. Sisi hatujawai kataa eti tunapata msaada. Nyingi ndio maskini jeuri mnajiona matajiri wakati Ni hohehahe hata kutushinda.🤣🤣🤣

Anyway, nimefurahi at last umekubali nyie ni ombaomba.🤣🤣
Acha kuweka magoli mapya Kila mara,hoja yangu ni kwamba Wazungu wanajileta sio kama Kundustan mnaenda kujipendekeza.
 
Acha kuweka magoli mapya Kila mara,hoja yangu ni kwamba Wazungu wanajileta sio kama Kundustan mnaenda kujipendekeza.
Umesema wazungu wanajileta, nikakuletea proof mkiwaomba msaada, ukageuza mjadala ukauleta Kenya kwa kuuliza kama sisi hatupati msaada. Kati yangu Na wewe nani amegeuza magoli?🤣🤣🤣
 
Public Schools in Tanzania,Kilolo

View: https://twitter.com/MaureenNgasala/status/1772493374525739282?t=MyUpCFcmxBY0G6T9KrNtFQ&s=19
20240326_104241.jpg
20240326_104250.jpg
20240326_104248.jpg
20240326_104245.jpg
 
Back
Top Bottom