Mambo madogo kama haya yanawashinda alaf wako hapa kupanua vijambio🤣🤣🤣
View: https://twitter.com/MiskellahMD/status/1772540446142537884?t=FqSrTmGSjOyaeuu5v385HQ&s=19
Ndio walileta ripoti na chanzo chao cha habari "standard.ke.co" kuwa Tz ndio nchi mojawapo inalipa madaktari vibaya.
Cha ajabu wao madaktari wao ndio wanaandamana tena kwa kukosa mishahara na mazingira mabovu ya kazi!