Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tunaendelea tulipoishia jana
Why is Dar es Salaam ahead of Nairobi for development?

19. Smartphone Brands (Hii inaonesha hadhi ya maisha ya wananchi 🤣 🤣 🤣 )
Sisi tunatumia Apple wao wanatumia Oppo 🤣🤣🤣🤣

View attachment 2940786

View attachment 2940788
Tanzania iko mbele kwa sababu wanatumia apple na kenya oppo- hii jamaa kienyeji ni ya wapi 😂😂😂😂
 
Angalia Mali yao pendwa hapa ( Probox), Kwamba hii ni Brand new wakimaliza kuibebesha ile mizigo inayozidi size ya gari ndio wauze Bongo kama second hand? Au itakua Owner wa hamsini 😂😂😂😂

Vitu vingine unaangalia tu ile Rhythm ya maisha unajua level yao inatosha😂

Hapa Rhythm inakataaa na wanayosema 😂😂😂. inafoka kabisa vitu haviendani

View attachment 2940716
Kunyaland kuna probox nyingi kuliko Tanzania.
Lkn sitoshangaa siku mkunya mmoja akaleta report (post/screenshot/link) inayosema kuwa Tanzania ina probox nyingi kuliko Kunyaland, afu yey na wenzake wakaidadadia hio report siku nzima
 
Angela Okutoyi is the new African women's Tennis champion.

Mibongolalala mnajua hata tennis ni nini?

Kenya🇰🇪 to the world
 
Kunyaland kuna probox nyingi kuliko Tanzania.
Lkn sitoshangaa siku mkunya mmoja akaleta report (post/screenshot/link) inayosema kuwa Tanzania ina probox nyingi kuliko Kunyaland, afu yey na wenzake wakaidadadia hio report siku nzima
Na wewe leta link ya ripoti kwamba Kenya Kuna brobox nyingi kushinda Tanzania tuone
 
Screenshot_20240320-151815_Chrome.jpg
 
Dar is a slum si ilikua imeflood juzi tu hazi nyuma zikabebwa na maji au unadhani tumesahau.

Barabara mbaya katikati ya jiji in 2024😂 😂 😂 👇 👇


View: https://x.com/JamiiForums/status/1770720092986196456?s=20

Sipendi ego ya hawa watu, utadhani wako tu sawa, hii ndio ile barabara niliiangalia kwa macho hata hakukuwa na mvua, alafu huku wanaruka hio stori sana mpaka wanasema ni kitambo, mara kunajengwa brt … never admitting fault, in fact trolling Kenya.
Inaboo
IMG_5229.jpeg
 
Kunyaland kuna probox nyingi kuliko Tanzania.
Lkn sitoshangaa siku mkunya mmoja akaleta report (post/screenshot/link) inayosema kuwa Tanzania ina probox nyingi kuliko Kunyaland, afu yey na wenzake wakaidadadia hio report siku nzima
Kenya has more vehicles of any kind than Tanzania. Be it probox or mercedes S class. The most common vehicle in Kenya is Hilux though, not probox.
 
Back
Top Bottom