ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,860
Siti anda ze san 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ona huyu jamaa.Of course Talanta is better than Mohammed V Stadium. Though nasikia wanataka kureconstruct hiyo Mohammed V.
Kuna viwanja vina track na vimehost finali. Hivyo viwanja sijasema ni vibaya ila vingi vyao havifikii Talanta. Halafu nimeweka vitu vingi kwa hiyo list vinavyofanya Talanta iwe bora kuliko Mkapa. Wewe nipe kimoja tu kinachofanya Mkapa iwe bora nihame huu uzi.
Mimi Kinjekitile Saba akisema ananiona bora kuliko wengine ndio nitajidharau zaidi. Yani sifa kutoka kwako ni kama tusi. Heri unione mjinga kuliko unione bora maanake mjinga huona wajinga wenzake kuwa bora.Nilikuwa nakuona wewe kdg una afadhali unatawaza kwa maji kumbe nawewe ni walewale mnuka mavi kama wakenya wengine.
Sasa unataka kufananisha uwanja ambao hauna roof na Talanta? Wewe kichwa chako kiko sawa? 😂 😂 😂Ona huyu jamaa.
😂😂😂😂😂😂 Really ufananishe Muhammad V na Talanta??
Really useme Talanta ni bora kuliko viwanja vya Ulaya vilivyo host uefa kisa vina running track!?
😂😂😂😂😂.
Tuanze taratibu
1)Talanta kuna V.A.R room?
Waulize CAF kwanini walichagua BWM stadium kuwa uwanja wa ufunguzi na sio Mohammed wa V.Of course Talanta is better than Mohammed V Stadium. Though nasikia wanataka kureconstruct hiyo Mohammed V.
Kuna viwanja vina track na vimehost finali. Hivyo viwanja sijasema ni vibaya ila vingi vyao havifikii Talanta. Halafu nimeweka vitu vingi kwa hiyo list vinavyofanya Talanta iwe bora kuliko Mkapa. Wewe nipe kimoja tu kinachofanya Mkapa iwe bora nihame huu uzi.
Wasindikizaji hawawezi shinda kitu. 😂 😂 😂Hivi majirani wameshiriki hii michezo kweli? 🤣 🤣
Subiri ijengwe alaf panua kipumulio hata SGR mliambiwa hvo hvo 🤣🤣🤣🤣🤣Of course Talanta is better than Mohammed V Stadium. Though nasikia wanataka kureconstruct hiyo Mohammed V.
Kuna viwanja vina track na vimehost finali. Hivyo viwanja sijasema ni vibaya ila vingi vyao havifikii Talanta. Halafu nimeweka vitu vingi kwa hiyo list vinavyofanya Talanta iwe bora kuliko Mkapa. Wewe nipe kimoja tu kinachofanya Mkapa iwe bora nihame huu uzi.
Show me that Talanta tortoise shell stadium wacha kupiga kelele, eti Talanta tortoise shell stadium ina VAR room iko wapi hiyo room, mbona mnaleta utoto? Sisi ndiyo nchi ya kwanza ukanda huu kuwa na VAR room na pia nchi ya kwanza ukanda huu viwanja vyake kuwa na LED display, you must have respect to this country.Sasa unataka kufananisha uwanja ambao hauna roof na Talanta? Wewe kichwa chako kiko sawa? 😂 😂 😂
Kuuliza kama Talanta ina VAR room ni kama kuuliza kama Ziwa victoria lina maji. Nimeona nabishana na mtu asiyejielewa. 😂😂
Ona ulivyo fala.Sasa unataka kufananisha uwanja ambao hauna roof na Talanta? Wewe kichwa chako kiko sawa? 😂 😂 😂
Kuuliza kama Talanta ina VAR room ni kama kuuliza kama Ziwa victoria lina maji. Nimeona nabishana na mtu asiyejielewa. 😂😂
Talanta tortoise shell stadium iko wapi?Kuna mwendazimu fulani anasema huu uwanja umeshinda Talanta. 😂😂😂
![]()
Je, na nyie mnashiriki FIFA series?Hivi majirani wameshiriki hii michezo kweli? 🤣 🤣
Katizame benchi la ufundi,vyumba vya kubadilisha nguo,mabafu,vyumba vya tiba,vyumba vya kupumzikia.Kuna mwendazimu fulani anasema huu uwanja umeshinda Talanta. 😂😂😂
![]()
Hata chamanzi stadium ina VAR room 😁😁Show me that Talanta tortoise shell stadium wacha kupiga kelele, eti Talanta tortoise shell stadium ina VAR room iko wapi hiyo room, mbona mnaleta utoto? Sisi ndiyo nchi ya kwanza ukanda huu kuwa na VAR room na pia nchi ya kwanza ukanda huu viwanja vyake kuwa na LED display, you must have respect to this country.