Kama kasarai ni level ya Mkapa mbona Kasarani haina HADHI YA CAF WALA FIFA??Mkapa level yake ni Kasarani, kwa hivo mkisema mlijenga 20 years ago sisi tutasema tulijenga 37 years ago. Kwa sasa bado hamjajenga Talanta na hamna mipango ya kuijenga any time soon.
KWanini mataifa mengi mwaka jana yalichagua Mkapa kuchezea Afcon qualifiers na sio Kasarani??
HATA aibu huoni kufananisha Mkapa na kasarani??
Umedata wewe