IamLee
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 6,628
- 7,820
Wacha kuchange topic mseeNdio unavojidanganya na ww kwamba nyinyi muna assemble scania au sio haya tuletee list kua AVA ame assemble scania trucks ngap kwa mwaka mm nifunge ACC SASA hvi 😂😂😂😂😂😂
Most of scania Munatumia zinatoka either South Africa au Europe (UK) hamuna plant ya Scania Kenya, the only active Scania plant iko South Africa 😂😂😂😂
Kwani zile Benz actors munatumia hua muna assemble kwenye ndoto ya mchana au ya usiku?? Punguzeni sifa ambazo hamuna dunia ishabadilika na nyinyi badilikeni hakuna mjinga SASA hvi
Sasa hata report ya wananchi na lwenye magazeti yenu bado mnaona kama ni fault ya wakenya? 😂😂Kumbe unatamani BRt ishindikane.? 🤣🤣 Endelea kutamani, sisi tuko busy kuwekeza to the point that hata marekani awepee pesa za bure hamtakaa mtufikie kamwe.
Guess what 3 phases of BRt are under way.. phase 2, phase 3 and phase 4.
tumeagiza buses mpyaa 170 for BRt phase 1 ili kuongeza efficiency. Hii itafanya kuonongeza buses kufikia almost 400 for BRt phase 1 alone.
Kwahyo we kama unaumia jiandae na kifo mana utaumia zaidi 🤣🤣🤣 pole
Sasa hata report ya wananchi na lwenye magazeti yenu bado mnaona kama ni fault ya wakenya? 😂😂View attachment 2940627
Budget yake ndogo Hana pesa that's y🤣🤣Mbona hakukuja kufanya video na BRT zenu?
What kind of infrastructure,Mombasa has better infrastructure than this dar thing
Eti wazungu weusi 🤣🤣🤣🤣 mzungu mweusi gani anatembea na kunguni kwenye koti lakeWanaamini tunaimport Used Cars kutoka kwao? 😂😂😂😂. Wanaongea utafikiri Wajapan 😂
Ruto kachukua loan over 250b within 2months kuweka mambo sawa na bado mambo hayajakaa sawa 😂😂😂😂😂
Wacha kuchange topic msee
Yaani magari yamemaliza milage South Africa yananunuliwa na kutumwa Tanzania. Then definitely ya kutoka Kenya pia mnanunua 😂😂
View: https://www.instagram.com/reel/C4ucW3KNBvv/?igsh=c254dXN4dmU0ZHgz
Wacha kuchange topic msee
Yaani magari yamemaliza milage South Africa yananunuliwa na kutumwa Tanzania. Then definitely ya kutoka Kenya pia mnanunua 😂😂
View: https://www.instagram.com/reel/C4ucW3KNBvv/?igsh=c254dXN4dmU0ZHgz
Sisi tulio hapa toka ikiitwa jamboforums tunakumbuka ilivyokuwa. Kulikuwa na watu wazito humu wakikata ishu hasa, kabla ya hii generation ya instagram.JF usiichukulie poa ukiona hawa watoto wa juzi wanaandika utumbo usidhani wote mafala humu. Kuna mpaka Waziri humu.
Unaumia kuona Tz inapiga hatua, cc tayari tushatoka huko mliko nyinyi third world means of transport, tuko mbali hata mlie, nyinyi hamtakuja kuwa na BRT kwasababu ya planning mbovu za miji yenu, hamkuwa na akili ya miaka 100 mbele mkajenga mpaka kwenye road reseve 🤣🤣🤣🤣B hara T with pathetic services. Kila mtu analia tu bad services. 😂 😂 😂
![]()