mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,781
- 6,481
Mlikomboa bombardier toka Canada?Asante kwa kilio cha samaki😛😛😛😛
Mlikomboa bombardier toka Canada?Asante kwa kilio cha samaki😛😛😛😛
Na mda huo ulipofika pia hakukuwa naHio haijachukuliwa BOT bana, labda useme toka watch tower ya TPA. BOT ipo mwisho wa barabara inayopita katikati ya TPA na PSPF.
Usidhani Dar sijafika, ingawa nikiwa huko hata Hizo TPA na PSPF hazikuwa akilini mwa mjenzi yeyoye.
karibu sananadhani ichoboy alikuwa anatania tu,sote tunajua mombasa ni kubwa kwa size kuliko kariakoo...kama ulimuamini basi naanza kupata shaka kuhusu upeo wako wa kuelewa mambo.![]()
![]()
ni sawa tu na huyu kilaza hapa chini siku alipozungumzia matumizi ya smartphone huko kenya...sikumuamini cos nilijua tu anapiga porojo.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Unaumia sana unaposkia kariakoo ni kubwa kuliko size of mombasa city ambayo ni 113 km sq
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Alaf kariakoo yote magorofa 10 to 20 fl
kwan mm niliandika km sq its 113mi sq na kariakoo ni zaidi ya 113 mi sq utakua ushaelewa nafkiri
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
hehe...!
unajitia kidole kisha unanusa
its 113 mi sq ntakua nuimekosea lakin ujue kwanzia leo size of kariakoo is big than size of mombasa city
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Down town Nairobi ndio hii wanajamvi. ..sijawah ona wakipost hizi picha uku kamwe,typical African city. ..jaman no filter no nothing...this is really nai cbd lmao
![]()
![]()
Tumenunua ndege 7 cash zikiwemo boeing 787 mbili, cs300 mbili and bombadir q400 tatuMlikomboa bombardier toka Canada?
Kariakoo inakuumiza sana kichwa maana toka jioni umeshkilia kariakoo hahahah😀😀😀😀😀karibu sana
Mombasa
Area = 300kmsq
Karaikuu
Area = 0.40kmsq
haha... lia kabisa...Kariakoo inakuumiza sana kichwa maana toka jioni umeshkilia kariakoo hahahah😀😀😀😀😀
Mm hua narudia sentesi yangu niliosema toka awali hii sio ile dar ya 90s hii ni 2017 na ndio maana wakenya wengi wameshtuka kuona maendeleo ya tanzania kwa muda mfupi sana,
Kariakoo area with heavy density in east and central africa😀😀😀😀😀haha... lia kabisa...
ati 'wakenya wengi....' uniambie utafiti ulifanywa na na nani.
ama kweli umeishiwa.Kariakoo area with heavy density in east and central africa😀😀😀😀😀
😀😀😀😀😀 Leo utalala unaiota kariakooama kweli umeishiwa.
pumzika tafadhali, kesho pia ni siku
I don't blame you. That is what your country's low level of education has made you to believe. Secondly, you use Wikipedia as your primary source of information. The area you are refering to house more than a half of Nairobi's population has only 98,000 registered voters. now do your math
Lkn c kibera inachukua 60% of Nai's population
Pole sana kwa teargass. today was a bad day for most eastlanders. I used to stay hapo Donholm phase 8 then later on Greenspan still within phase 8.Tassia estate Eastlands...visited a friend although tumekula teargas hapo outering road donholm![]()
![]()
Hii ndio kitu mtanzania hawezi kukuonyesha hapa jf hata kwa dawa. The last thing a Tanzanian will show you is the aerial photo of their residential areas. hata umwekee gun kwa kichwa hatakuonyeshaHaha this is Eastlands were lower middle live....upper middle in Eastlands live in nyayo estate![]()
![]()
You could have done better by showing us your better places badala ya kupiga tu kelele. show us aerial views of your residential estates where a common man lives then we compare and contrast. msilete zile za beach kwa wadosi mnaletanga. just a normal estate equivalent of Donholm ama Tassia umeonyeshwa hapo juuSometimes hide your poor places
Ile bombardier iko Canada mshaikomboa baada ya kushindwa kulipa deni?Tumenunua ndege 7 cash zikiwemo boeing 787 mbili, cs300 mbili and bombadir q400 tatu
kenya airways haina historia ya kunujua ndege cash badala yake zote mumelease from ur partners akiwemo klm and star alliance na bado kampuni ina run loss leo 4 yrs hakuna nafuu😀😀😀😀😀😀
Kumbuka shares of kq, gvt of kenya 29% and klm 27% zilizobakia nizawatu binafsi wengi wao kutoka nje ya nchi
Lakini air tanzania is 100% owned by gvt of tz
Deni la nani??? Tulivunja mkataba na hio company kwa sababu walianza kutujengea barabara ilio chini ya kiwango so wakadhani wakishtaki tutawalipa mpaka sasa kesi haina mashiko na ndege inafanyiwa final test inakujaIle bombardier iko Canada mshaikomboa baada ya kushindwa kulipa deni?