Kilimani ni sehem ndogo sana kulinganisha na kkooKama unajivunia kariako then level yenu bado iko chini this is kilimani![]()
Haha this is Eastlands were lower middle live....upper middle in Eastlands live in nyayo estate![]()
![]()






Ata kwa izo picha apo hujiongeziwapi umeona imeandkwa 'market' hapa???? my fren.... tumia akili.
pitia hapa kisha utaniambia>>> Kariakoo (Urban Ward, Tanzania) - Population Statistics, Charts, Map and Location hapa tunaongelea Ward nzima na masoko yote ya samaki na CBD na Surbarb.
Kariakoo sisi twaitambua kama kongo, ushwailini, uhuru, karume, kariakoo (sokoni), lumumba,machinga complexwapi umeona imeandkwa 'market' hapa???? my fren.... tumia akili.
pitia hapa kisha utaniambia>>> Kariakoo (Urban Ward, Tanzania) - Population Statistics, Charts, Map and Location hapa tunaongelea Ward nzima na masoko yote ya samaki na CBD na Surbarb.
tz ni taifa lilipotia katika misingi ya kijamaa pia watz wengi waliozaliwa baada ya uhuru wa tanganyika na baada muungano wa tanganyika na zanzibar wamekuzwa katika ideology mbalimbali za kijamaa(umoja na upendo)thread imeanzishwa na Anna na Jay456, acha kuchukua somebody else's credit. talk of yourself, always use 'I' rather than 'We'..... in other words mimi na wewe hatuna tofauti kwa hii thread

Picha zao zinajulikanaHii ni picha ya CBD nairobi picha kutoka jengo la mikutano maarufu kama kicc
See ni flat town hakuna towers lmao,old designed city with ugly building...Nairobean will never show you this one...
![]()
Pop ya kibera ni 170k...kama iyo ni 60% rudi chuo
Lkn c kibera inachukua 60% of Nai's population
Down town Nairobi ndio hii wanajamvi. ..sijawah ona wakipost hizi picha uku kamwe,typical African city. ..jaman no filter no nothing...this is really nai cbd lmao
![]()
![]()




Here we go....
Ninachojua ni 60% kutokana na researchersPop ya kibera ni 170k...kama iyo ni 60% rudi chuo
Without Upanga bado mjini kutamu...
Asante kwa kilio😀😀😀😀😀😀Dar ishindane na Mombasa tafadhali, Nairobi is too advanced for anything Tanzanian.
Without make up😀😀😀Down town Nairobi ndio hii wanajamvi. ..sijawah ona wakipost hizi picha uku kamwe,typical African city. ..jaman no filter no nothing...this is really nai cbd lmao
![]()
![]()
Without upangaWithout Upanga bado mjini kutamu...
Hapo hujagusa upanga wala kariakoo
Good. I like people who are honest with themselves. Mwenzako jichoboy siku moja kaniambia Mombasa ni ndogo kwa Kaarikoo.... sasa matokeo yake ndio haya.... pole lakini hii battle imetoka mbali.Ushaoneshwa kwenye google maps ni almost 3kmsquare