Wakenya hawaamini wanachokiona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ubungo Dsm
![]()
opinions are like a$$holes. everybody got onetz ni taifa lilipotia katika misingi ya kijamaa pia watz wengi waliozaliwa baada ya uhuru wa tanganyika na baada muungano wa tanganyika na zanzibar wamekuzwa katika ideology mbalimbali za kijamaa(umoja na upendo)
that being said,ukipata mtz anasema "sisi/we" anamainisha watanzania wote kwa ujumla wake.
huwa hatutumii sana "mimi/i" cos we regard "i" as a sign of selfishness.
"i" is widely used in a country like kenya whose citizens pass through some tribal hatred.we know you guys don't like each other due to tribalism that's why you prefer using "i" instead of "we".[emoji23]
bila shaka "umetuelewa" ndg.[emoji23]
Kwa eneo ovious Mombasa ni kubwa coz hii ni ward akat mombasa ni province(region)Good. I like people who are honest with themselves. Mwenzako jichoboy siku moja kaniambia Mombasa ni ndogo kwa Kaarikoo.... sasa matokeo yake ndio haya.... pole lakini hii battle imetoka mbali.
nadhani saa hii amejua hajui.
Ugly sana.Ubungo Dsm
![]()
Airtel headquarter at morroco area Dsm
![]()
cool oneAirtel headquarter at morroco area Dsm
![]()
SmhUgly sana.
mkijenga nyumba kama hizi with good Infrastructure plus planning dar itakuwa mji poa sana...wala si hayo majengo meupe yanayofanana yoteAirtel headquarter at morroco area Dsm
![]()
Whats makes it ugly??Ugly sana.
Wewe bado mshamba sana. Na ninauhakika hujawahi fika Dar. Yaani kilicho kuchanganya sana hapo ni glasses maana huko Nairobi majengo yenu ni ya Udongo mwanzo mwisho.mkijenga nyumba kama hizi with good Infrastructure plus planning dar itakuwa mji poa sana...wala si hayo majengo meupe yanayofanana yote
Dar vs Mombasa.Asante kwa kilio😀😀😀😀😀😀
Dar vs Mombasa.Asante kwa kilio😀😀😀😀😀😀
Dar vs Mombasa.Asante kwa kilio😀😀😀😀😀😀
MatopeniNairobi without makeup
View attachment 639836
that's is more than an opinion.... it's an academic knowledge taught in higher learning institutions.... you should thank me for adding something positive in your empty oddly headed shape [emoji23] [emoji23]opinions are like a$$holes. everybody got one
nadhani ichoboy alikuwa anatania tu,sote tunajua mombasa ni kubwa kwa size kuliko kariakoo...kama ulimuamini basi naanza kupata shaka kuhusu upeo wako wa kuelewa mambo.[emoji23] [emoji23]Good. I like people who are honest with themselves. Mwenzako jichoboy siku moja kaniambia Mombasa ni ndogo kwa Kaarikoo.... sasa matokeo yake ndio haya.... pole lakini hii battle imetoka mbali.
nadhani saa hii amejua hajui.