Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ichoboy mimi bado sikuelewi hapo kwa Britam. unajaribu kusema kwamba hiyo kampuni inamilikiwa na watanzania ama ni nini point yako exactly? usiseme tena eti umeleta link coz hiyo link nishaisoma tiyari. hebu niambie unachomaanisha. Lakini kama hauna la msingi ya kusema ni heri tu unyamaze
 
828 - 224 =604m burj khalifa

200 - 60 = 140m britam😀😀😀😀😀😀

am sure umegundua kitu hapo
Yap, I've noticed 3 things

1. The Burj has a larger spire to total height ratio (1 : 3.6) than Britam (1 : 3.3)
2. You went to primary school (not so certain about post primary)
3. You do not even know what you're arguing in the 1st place (OR you do but you're being stubborn due to diminishing facts to posts ratio)
 
Oh Lord! This goal shifting is worse than I thought. What exactly was the argument, huh? the shape, structure, size of the spire or were you arguing down the presence of the spire in the first place.

Alafu hesabu gani hizo umefanya tena hapo. makes no sense at all, none whatsoever!

Burn Khalifa is 828m of which 224m is a spire. Yani spire pekeake in ndefu kuliko the entire Britam, the tallest building in the region and 2nd tallest in Africa. I've never heard any sod in all the international forums claim "Meh, all that height is a spire" Unless you'd like to join one and start such a claim
That's a typical Tanzanian for you. always shifting goal posts after realizing that he has no poibt to put across. At the end of it, you'll even be wondering what exactly you were debating about.
 
mm sina nidhamu za uongo na ndio maana nimekwambia tpa ni refu kuliko pspf,
tpa = 178m
pspf = 153m
Tazama hii picha tena kisha unieleze how is TPA (which is closer to the photographer) 20m taller than PSPF twins
29806545331_39efb77289_b.jpg
 
Yap, I've noticed 3 things

1. The Burj has a larger spire to total height ratio (1 : 3.6) than Britam (1 : 3.3)
2. You went to primary school (not so certain about post primary)
3. You do not even know what you're arguing in the 1st place (OR you do but you're being stubborn due to diminishing facts to posts ratio)
asante pumzika bro urefu wa burj khalifa without sphere ni mara nne na nusu ya urefu wa britam😀😀😀😀
yani na ujinga mlionao kila jambo munataka mufanane na wengine
 
Kisha sijui ume edit Wikipedia mbio mbio kujitetea ama nini. How can TPA be listed as the 2nd tallest in Tz everywhere yet have 20 more meters than the actual tallest

Kwa hizi picha TPA ndio IPO karibu na mpiga picha. Ipi refu?

29806545331_39efb77289_b.jpg
am sure umejifunza kitu hapo
IMG_1067.JPG

2aff7604ccc8311e3621398a3d8136cd.jpg
 
asante pumzika bro urefu wa burj khalifa without sphere ni mara nne na nusu ya urefu wa britam😀😀😀😀
yani na ujinga mlionao kila jambo munataka mufanane na wengine
Sitapumzika mpaka nikung'watue toka mikono ya mis/lack of info.

Bila spire, burj would be the 5th tallest building and not the tallest. Ever heard of anyone anywhere listing burj as the 5th tallest?

Bila spire Britam would not be the 2nd tallest ever heard of anyone (that isn't a Tanzanian) anywhere listing Britam as not the 2nd tallest in Africa?

Magufuli kawatia makufuli akilini hamtaki kuona mambo yalivyo
 
Sitapumzika mpaka nikung'watue toka mikono ya mis/lack of info.

Bila spire, burj would be the 5th tallest building and not the tallest. Ever heard of anyone anywhere listing burj as the 5th tallest?

Bila spire Britam would not be the 2nd tallest ever heard of anyone (that isn't a Tanzanian) anywhere listing Britam as not the 2nd tallest in Africa?

Magufuli kawatia makufuli akilini hamtaki kuona mambo yalivyo
Au huo mnara nao ni floor
 
Sitapumzika mpaka nikung'watue toka mikono ya mis/lack of info.

Bila spire, burj would be the 5th tallest building and not the tallest. Ever heard of anyone anywhere listing burj as the 5th tallest?

Bila spire Britam would not be the 2nd tallest ever heard of anyone (that isn't a Tanzanian) anywhere listing Britam as not the 2nd tallest in Africa?

Magufuli kawatia makufuli akilini hamtaki kuona mambo yalivyo
hahahaha britam bila kofia ni 140m sasa wewe endelea kujitia ujinga wa 200m😀😀😀😀😀
na ndio maana hata maisha yenu yamekaa kiujanja ujanja usiokua na maana yoyote
have a look on burj khalifa spire utaona even the design inaonesha narrow shape kwenda juu na inasababushwa na urefu wa jengo lakini angalia design ya britam inaonesha dhahiri ni kofia imewekwa
36d461dff5c5dab15d67327d404dbc2f.jpg
 
Yap, I've noticed 3 things

1. The Burj has a larger spire to total height ratio (1 : 3.6) than Britam (1 : 3.3)
2. You went to primary school (not so certain about post primary)
3. You do not even know what you're arguing in the 1st place (OR you do but you're being stubborn due to diminishing facts to posts ratio)
Did you expect ichoboy to understand the first point you raised above? Hahaha...you may get lucky with another Tanzanian, not him. He is now claiming that you were trying to compare Britam with Burj, which is definitely not the case here. Hawa ni kweli magufuli amewatia kufuli vichwani as you put it.
 
Tazama hii picha tena kisha unieleze how is TPA (which is closer to the photographer) 20m taller than PSPF twins
29806545331_39efb77289_b.jpg
Tatizo wewe huelewi. TPA jengo lipo baharini kabisa yaani chini, wakati PSPF yapo juu kidogo.
 
This one is from the sides of BOT, not from the ground where the height may be distorted by the closest tower but from an aerial perspective. Where are those 20m taller than PSPF coming from, are they invisible floors?

dar-es-salaam-21.jpg


Tuusan's 157m is close to accurate, not that 178m from God knows where
 
Nah, You guys really don’t know anything. Remove two Investors concrete tower ( UAP) and The Terracotta ( Britam) what do you have? Prism? Okay, And remember, Until you complete all your towers including those in excavation, Dar will still be leading in Number of High rises over 30.

Too Bad your NSSF building scaled down to 15 Flrs.

Hamjui Kama mmefunikwa na imebaki aibu na visababu eti architecture na uzuri wa Jengo.
I like it Kenyan investors and not Kenyan government building Nairobi
 
Did you expect ichoboy to understand the first point you raised above? Hahaha...you may get lucky with another Tanzanian, not him. He is now claiming that you were trying to compare Britam with Burj, which is definitely not the case here. Hawa ni kweli magufuli amewatia kufuli vichwani as you put it.
mm nishamuelewa kuhusu ratio na still ratio ya burj khalifa iko juu lakini nachotaka kumueleza afahamu burj khalifa without spire basi britam inaingia mara nne na nusu😀😀😀😀😀 alafu have a look on burj khalifa even the shape of spire inaonesha narrow shape of spire as long height imekwenda juu sana lakini angalia kofia ya britam
angalia tafaut ya shape ya jengo na how spire looks like
36d461dff5c5dab15d67327d404dbc2f.jpg
vae-dubai-skyscraper-burj-khalifa-height-828-m-H49K8G.jpg
 
Back
Top Bottom