Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa kama kweli nyie mnajua kuchagua rangi mbona ya kwenu imekosa kwenye hiyo list au nyie hamna ikulu
Wewe fatilia thread ujue ni nini kinazungumziwa badala ya kudandia gari katikakati ya safari. I was NOT trying to prove that Kenya's state house is among the best. uliza ichoboy atakuelekeza
 
Ubaya wako unaingilia mjadala katikati bila kujua ni nini kinachoongelewa. Mwenzako ichoboy alisema mnajenga white house kule dodoma kisha nikamkosoa kwa kumwambia kwamba ni wamerekani pekee yao wanaitwa ikulu yao hivyo. Then akaniambia kwamba hiyo si la muhimu na kwamba ikulu ZOTE za rais duniani zimepakwa rangi nyeupe. I was just trying to tell him than not all are painted white. Na hata ni vizuri sana wewe pia umethibitisha kwamba ya S. Korea ina rangi ya blue
So u think state house of tanzania is not white😀😀
Maana imepakwa rangi nyeupe yote na ndio the biggest state house in east africa na nafkiri ndio state house pekee east africa yenye kiwanja cha ndege
IMG_1197.JPG
 
Ubaya wako unaingilia mjadala katikati bila kujua ni nini kinachoongelewa. Mwenzako ichoboy alisema mnajenga white house kule dodoma kisha nikamkosoa kwa kumwambia kwamba ni wamerekani pekee yao wanaitwa ikulu yao hivyo. Then akaniambia kwamba hiyo si la muhimu na kwamba ikulu ZOTE za rais duniani zimepakwa rangi nyeupe. I was just trying to tell him than not all are painted white. Na hata ni vizuri sana wewe pia umethibitisha kwamba ya S. Korea ina rangi ya blue
Sisi tunita ikulu,yeye kuiita white house wala haikuwa habari,maana ni nyeupe na inakaliwa na rais pia.

Ingekuwa nyekundu akaiita white house hapo angekuwa kachanganya.
 
Sisi tunita ikulu,yeye kuiita white house wala haikuwa habari,maana ni nyeupe na inakaliwa na rais pia.

Ingekuwa nyekundu akaiita white house hapo angekuwa kachanganya.
Angesema tu ikulu badala ya white house. hiyo ni kujipatia misifa ambayo haifai.
 
Wewe fatilia thread ujue ni nini kinazungumziwa badala ya kudandia gari katikakati ya safari. I was NOT trying to prove that Kenya's state house is among the best. uliza ichoboy atakuelekeza
Eti kudandia wewe inakuuma sana kusikia umeambia ikulu yetu kuitwa white house sasa ulitaka tuiite green house au black ndio ujue ni ubunifu au?!!!
 
Eti kudandia wewe inakuuma sana kusikia umeambia ikulu yetu kuitwa white house sasa ulitaka tuiite green house au black ndio ujue ni ubunifu au?!!!
sema tu ikulu ama state house. Sasa mkisema white house wamerekani watasema nini?
 
sema tu ikulu ama state house. Sasa mkisema white house wamerekani watasema nini?
Mbona hilo jina linakuuma acha wamarekani waje wenyewe wajitetee kwamba tunatumia jina la white hause. Ila tungekuwa tumeiita ya kwetu kibera slum house ungesema tungeliacha mara moja[emoji1] [emoji1]
 
Tunasema white house kwasababu ni white in colour so we unataka tusema black house,
Americans call their presidential palace the white house, the British call theirs 10 Downing Street, the Germans call theirs The Bellevue Palace and so on and so forth even though all these are painted white. sasa mbona mdandie majina za watu wengine? ama ndo kutokuwa mbunifu? and the white house is not just called white because of the predominant white colour. it is just a name they decided to call the official residence of their president. It had many names before it was renamed white house even though it was still white in colour hata enzi hizo. I hope umenielewa sasa
 
Sisi sio kama nyie mlio dandia kucopy hadi tower za watu wakati mnapesa kiduchu mkaona mjenge little sijui muitwe new york ndogo
4d39bf8f2340b8226aeb711328ac3908.jpg
a5f105543190f7a3882aa72a4dc25457.jpg
Wacha kubadilisha topic...tumalizane na hii story ya white house kwanza
 
Back
Top Bottom