according to the nature of this discussion don't expect someone to agree with your opinion/information however how credible your source is....disagreement is part of the thread.. so relax.Hapo nakubaliana nawe kabisa...ni mara mingi sana nimefanya cross-check kabla kuwasilisha hoja. ubaya ni kwamba wenzako wabongo hawakubali ukweli hata kama inadhihirika aje
Hizo hata haziendani hata kidogo labda tu umekosa ushahidisisi yetu ni majengo pacha ila hayaendani kiumbo na hayo kama hiyo replica yenu from one world Trade CenterWe copied 1 tower, you guys copied an entire city called Port of Spain
Ma PSPF, BOT na TPA zote mlicopy-paste toka hapa, tazama
![]()
Hehehe...umewapata kweli. hii hapa watapita kana kwamba hawajaionaWe copied 1 tower, you guys copied an entire city called Port of Spain
Ma PSPF, BOT na TPA zote mlicopy-paste toka hapa, tazama
![]()
Yani hata kitu ya wazi hivi mnakana?Hizo hata haziendani hata kidogo labda tu umekosa ushahidisisi yetu ni majengo pacha ila hayaendani kiumbo na hayo kama hiyo replica yenu from one world Trade Center
MinaraniNai upper hill
![]()
Naam, ila papo hapo minarani pakajengeka kuliko kulee kwenu kusokuwa na minara mkuuMinarani
NOMAREE .....hii picha watajifanya hawajaionaNai CBD
![]()
Yaan aka kajengo kenu ni kafupiSisi sio kama nyie mlio dandia kucopy hadi tower za watu wakati mnapesa kiduchu mkaona mjenge little sijui muitwe new york ndogo![]()
![]()
NOMAREE .....hii picha watajifanya hawajaiona
Nlidani renders haiko tz
Endelea kuota kua ni render soma kibao vzr kilivoandikwa kitakupa habari kamili😀😀😀Nlidani renders haiko tz
Yes, Dodoma, magnificent indeedThe capital town of bongolala
Mbeya, The green city.kuita mbeya na dodoma city ndio kutafuta misifa
Yes, Kiswahili ni moja,Nimeangalia kwote na sijaona kitu Tanzania inashindia Kenya. Labda kuongea Kiswahili tu
Wenzako wameongezea na mnara halafu wanasema eti ni 2nd Tallest in Africa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila aka kajengo ni kafupi asee
Mnara ndo unakabeba
Kwahiyo mlichooona ni cha maana kuiga 100%ni urefu wa mnara[emoji12] .Jiulize ni kwa nini lile jengo la NY uliofananisha na Britam lina mnara japo ni refu zaidi.
Sio vibaya kukopy,tatizo lenu mmeharibu ubunifu wa watu.hiyo ya NY ina mvuto na inangaa na ni ndefu sana tofauti na jinsi mlivyolipua yenu.We copied 1 tower, you guys copied an entire city called Port of Spain
Ma PSPF, BOT na TPA zote mlicopy-paste toka hapa, tazama
![]()