Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The SA army is the only visible one....others who worship SA like tz are flower girls and mark you Tsitshekedi has agreed to talk to Kagame after pressure from USA and told to reinstate the Nairobi Luanda deal .hehe
Blaaa blaaah blaaah.
That's Kunyan perception as usual.
M23 bado wanakula kibano toka TPDF we endelea kukenua westgate.
Kwa Msumbiji TPDF inafanya kazi kuliko jeshi la SA kaa utafute habari magaidi huko wanapewa kikando cha kimya kimya.
SADF hao guirrella war huwa wanaiogopa sana.
 

Very eager to see the route that will be taken if Tanga Port is the one to be used.

1709224324137.png
 
UNA UTINDI WA UBONGO.
Halafu kwa kutaja Ferri umejichimbia kaburi mwenyewe.
PALE FERI KUVUKA ULE UMBALI AMBAO HATA MITA 500 HAZIJAFIKA INACHUKUA NUSU SAA NZIMA MIMI NAVUKAGA.
SASA PIGIA MAHESABU KWA KILOMETA 30 MTAVUKA KWA MASAA MANGAPI??
PIA USIFANANISHE SHUGHULI ZA DAR NA MWANZA,WATU WA KIGAMBONI NA KIVUKONI WENGI WA MAOFISINI NA WAFANYABIASHARA,WENGI WAO UHAKIKA WA MSHAHARA UPO.
Watu wa kigogo Busisi wengi wao asipoenda kujishughulisha MKONO HAUENDI KINYWANI HIYO NDIO MAANA HALISI YA HAND TO MOUTH.
Yani bila kazi ya kila siku mkono hauendi kinywani.
USIKUTE NABISHANA NA WEWE HATA MAANA YA HAND TO MOUTH HUKUITAMBUA.
Narudia tena kama Kigamboni kwenda Kivukoni umbali wa nusu kilometa kivuko hutumia nusu saa je umbali wa kilometa 30+ utatumia masaa mangapi??
We huoni utakua unachelewesha uzalishaji na shughuli za watu za kiuchumi???
Wewe bwege nimevuka kigongo Busisi na ferry kote nakufahamu.

Kule Kigongo Busisi ni max.ya saa 1 na ukitumia Kamanga ferry ni max.ya dk.45.

Hiyo ni Kwa kutumia hayo magari yaliyochoka ya Temesa.

Ndio maana nikakwambia ningekuwa Mimi ningenunua ferry za Kisasa na nzuri ndio mvukie huku mapesa mengine nikisafisha vumbi la Slums za Mwanza.

Nyie wenye local reasoning hamuwezi kuelewa haya mambo,sikiliza wenye akili za kiuchumi kama zangu wakiwapa shule na kuwashangaa hapa 👇

View: https://youtu.be/P_v7srOk7QY?si=KhNEkhpNkEFtUOSH
 
Back
Top Bottom