ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Mambo ya Samia haya ambayo haters wake Huwa hawataki kuyasikia ๐๐
View: https://youtu.be/_SS1HDFQKzc?si=5QpbnhZ3r5kp5kUq
Wamepita wengi hapo hakuna Cha maana wamwfanya.Hata Mwanza mnaenda kutibiwa na Samia ๐๐
View: https://www.instagram.com/reel/C38GTLAiifS/?igsh=MWNtamIyMWI5NzNvcA==
Jengo lishajengwa ww unaongelea jengo ambalo lipo kilichobakia ni kuweka vifaa๐๐ na tena linaoneshwa jengo lenyewe
Jengo la mbeya same limeshajengwa muda mrefu ilibakia ufunguzi ๐๐๐๐๐๐
Hakuna mtanzania mjinga SASA hvi