ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Mambo ya Samia haya ambayo haters wake Huwa hawataki kuyasikia ππ
View: https://youtu.be/_SS1HDFQKzc?si=5QpbnhZ3r5kp5kUq
Wamepita wengi hapo hakuna Cha maana wamwfanya.Hata Mwanza mnaenda kutibiwa na Samia ππ
View: https://www.instagram.com/reel/C38GTLAiifS/?igsh=MWNtamIyMWI5NzNvcA==
Jengo lishajengwa ww unaongelea jengo ambalo lipo kilichobakia ni kuweka vifaaππ na tena linaoneshwa jengo lenyewe
Jengo la mbeya same limeshajengwa muda mrefu ilibakia ufunguzi ππππππ
Hakuna mtanzania mjinga SASA hvi