Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mambo ya Samia haya ambayo haters wake Huwa hawataki kuyasikia πŸ˜‚πŸ˜‚

View: https://youtu.be/_SS1HDFQKzc?si=5QpbnhZ3r5kp5kUq

Wamepita wengi hapo hakuna Cha maana wamwfanya.Hata Mwanza mnaenda kutibiwa na Samia πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/reel/C38GTLAiifS/?igsh=MWNtamIyMWI5NzNvcA==

Jengo lishajengwa ww unaongelea jengo ambalo lipo kilichobakia ni kuweka vifaaπŸ˜‚πŸ˜‚ na tena linaoneshwa jengo lenyewe

Jengo la mbeya same limeshajengwa muda mrefu ilibakia ufunguzi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hakuna mtanzania mjinga SASA hvi
 
If You expect me to argue with you then I'm sorry to let you know that I don't have that time to waste.
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Jengo lishajengwa ww unaongelea jengo ambalo lipo kilichobakia ni kuweka vifaaπŸ˜‚πŸ˜‚ na tena linaoneshwa jengo lenyewe

Jengo la mbeya same limeshajengwa muda mrefu ilibakia ufunguzi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hakuna mtanzania mjinga SASA hvi
Kama lilijengwa hayo mabilioni yaliyolewa Ili kukupamba wewe au?

Uwe unaelewa au kambishie RC basi ngoja nikupe Account yake πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/reel/C38ECNAt1jk/?igsh=M3Nwa2IweGp4a2Fu

Hater unatapatapa sana 😁😁😁😁

Unaumia sana baada ya kuona kwamba Samia Ametoa Pesa za kukamilisha ujenzi wa jengo la abiria,kufanya runway,kufunga taa na Sasa coldroom facilities loading
 

Ningependa kujua zile weapons tanzania wana produce
1709236547074.png


1709236506807.jpeg


IMG_9533.jpeg


Ama ni nyumbu
1709236720680.jpeg
 

Attachments

  • 1709236475887.jpeg
    1709236475887.jpeg
    45.1 KB · Views: 5
Kama lilijengwa hayo mabilioni yaliyolewa Ili kukupamba wewe au?

Uwe unaelewa au kambishie RC basi ngoja nikupe Account yake πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/reel/C38ECNAt1jk/?igsh=M3Nwa2IweGp4a2Fu

Hater unatapatapa sana 😁😁😁😁

Jengo la abiria songwe limejengwa toka kipindi cha magu na limemalizika muda tu🀣🀣🀣
Nashangaa Sana kwann watu wanatumia nguvu Sana

View: https://twitter.com/ngaizer/status/986598212667666432?t=_cz0qwNjg2SILr-fHAf5mw&s=19
 
Kwa nini lilikuwa halitumiki? Mlikuwa mnasubiria nini? Sisi tunajua Samia ndio ametukamilishia uwanja Wetu kuwa wa Kisasa,full stop.
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Mada imebadilika sasa
Kwann Munatumia nguvu Sana kunadi wakat vitu vishafanyika

Naww ni chawa pro max unalipwa lakini?😁
 
That's why nasema I doubt your level of education and reasoning capability.
Watu wanaovuka kuja upande wa pili ni wananchi wa hand to mouth na biashara zao nyingi huzifuata ama kuzifanyia ng'ambo.
Kivuko cha kisasa cha kutembeza watu 30+ kilometa?
Sehemu ambayo mzunguko wa kiutaftaji ni mara kwa mara?!
Pindi kivuko kama cha MV.Magogoni kikibeba round ya kwanza kinaacha mamia ya raia ng'ambo wakiwaza na kuwazua kinarudi saa ngapi ili nao wavuke kwenda kufanya shughuli zao za kipato.
Unataka zitandazwe rami kwanza kesha uache wananchi wakitaabika katika suala la kuendea shughuli za kiuchumi???
Unatakiwa urudi darasani aisee.
Pia ondoa ujinga TZ mji pekee uliojengwa kwa mipango miji ni MWANZA labda Dodoma ndio itakuja kuipiku kwasababu ni mji wa kiserikali.
Ila kimipango miji kwasasa HATA DAR HAIJAJENGWA KIMPANGILIO KUIZIDI MWANZA nimefika.
Nawashangaa mnaopoteza muda kumjibu huyo mtu. Hujamjua tu? Just ignore him. Kwanza amegeuza thread kama page ya Tamisemi
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Nasubiri kuona jengo jipya la abiria mwanza tofaut na Hilo ambalo limeshajengwa

Tusubiri tuone
Msikilize RC Makalla hapa akiwakejeli kwamba mlijenga godown badala ya Terminal building πŸ˜‚πŸ˜‚

View: https://youtu.be/BUNubKrwlNo?si=RocsBjo4VRcZqxqB
cc coodip1

Hii sio terminal building ni kituko Cha awamu ya 5 😁😁

View: https://youtu.be/iIYNUGWof4M?si=iv0zaCRnlKSUZpab
 
Msikilize RC Makalla hapa akiwakejeli kwamba mlijenga godown badala ya Terminal building πŸ˜‚πŸ˜‚

View: https://youtu.be/BUNubKrwlNo?si=RocsBjo4VRcZqxqB
cc coodip1

Hii sio terminal building ni kituko Cha awamu ya 5 😁😁

View: https://youtu.be/iIYNUGWof4M?si=iv0zaCRnlKSUZpab

Narudia tena πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Nasubiri kuona jengo jipya la abiria mwanza tofaut na Hilo ambalo limeshajengwa

Tusubiri tuone
 
Back
Top Bottom