Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pole sana Kwa hiyo pale ferry Dar wanapovuka watu Kwa panton hawafanyi hand to mouth au ni wachache kushinda wa hapo?

Watu ambao hamjasoma uchumi Huwa mna matatizo ya ulinganifu wa kiuchumi na ndio mnatusababishia mabilioni yanapotea Kwa sababu za Miradi ya kupigia picha.

Mara nyingi watu wenye akili ndogo Huwa wanapenda vitu vya aina hiyo ,huwezi Kuta wanashughulika na mambo ya Kuinua Hali za maisha ya watu.Mnapenda vitu cheap cheap kupigia picha.
UNA UTINDI WA UBONGO.
Halafu kwa kutaja Ferri umejichimbia kaburi mwenyewe.
PALE FERI KUVUKA ULE UMBALI AMBAO HATA MITA 500 HAZIJAFIKA INACHUKUA NUSU SAA NZIMA MIMI NAVUKAGA.
SASA PIGIA MAHESABU KWA KILOMETA 30 MTAVUKA KWA MASAA MANGAPI??
PIA USIFANANISHE SHUGHULI ZA DAR NA MWANZA,WATU WA KIGAMBONI NA KIVUKONI WENGI WA MAOFISINI NA WAFANYABIASHARA,WENGI WAO UHAKIKA WA MSHAHARA UPO.
Watu wa kigogo Busisi wengi wao asipoenda kujishughulisha MKONO HAUENDI KINYWANI HIYO NDIO MAANA HALISI YA HAND TO MOUTH.
Yani bila kazi ya kila siku mkono hauendi kinywani.
USIKUTE NABISHANA NA WEWE HATA MAANA YA HAND TO MOUTH HUKUITAMBUA.
Narudia tena kama Kigamboni kwenda Kivukoni umbali wa nusu kilometa kivuko hutumia nusu saa je umbali wa kilometa 30+ utatumia masaa mangapi??
We huoni utakua unachelewesha uzalishaji na shughuli za watu za kiuchumi???
 
i was asking the same thing.....
You were asking about the same thing, ok show me electrified SGR, show me cable stayed bridge, show me BRT, show me big hydropower plant like jnhpp, show me new organized city like dodoma, show me big water project like victoria water project, show me industrial park like Sinotan industrial park, fool.
 
Kama hutaki SGR kwann hua unapost hapa na unapost ili iweje ?? 🤣🤣🤣 Unaeza post kitu hukipendi??? Na kama JPM bridge hutaki kwann pia hua unapost?? Ww unavituko Sana

Alaf suala la kukatika kwa umeme naomba nikuulize swali Kwann makamba alitolewa kwenye wizara hii kuna shida gani?? Na kwann alitolewa baada ya malalamiko mwingi ya kukatika kwa umeme?? Ajili kichwani😃😃😃😃

Eti ujue kutafuta pesa naenda kasome debt to GDP ratio SASA hvi Tanzania kama hukuzimia😃😃 unafkiri kutafuta pesa mchezo au sio sukari inauzwa kilo 5000 na nchi iko kimya na hakuna anaehoji wala kujibu
Kaka huyu jamaa ana shida sana kifikra.
Kuna muda huwa namshangaa unatakiwa umnyamazie ila kuna muda anachoongea kinatia hasira na kushangaza.
Msameheni tu.
Yani mtu anakwambia kuwekwe vivuko sehemu yenye umbali wa kilometa 30+.
Ilhali Kigamboni to sehem yenye umbali nusu kilometa kuelekea Kivukoni watu wanakaa dakika 20 kwa pantoni na kushuka jumla 30 minutes je kilometa 30 mtakaa masaa mangapi??
Ukifika kazini utafika saa ngapi ama shughuli za utafutaji utazifanya saa ngapi???
Huyo jamaa huyoo doooh!!🤔🤔🤔
 
Wakundustan ni washamba hawajui negotiations ni kama walughalugha kutoka bush wanavyopigwa za uso wakijichanganya mjini 😂😂
Wakiona hii kesho wanaingia barabarani sababu Tanzania ndio marking scheme yao 😁

Dar new oil facility
Cost $270 million
Capacity 420,000 metric tones

Kipevu oil facility
Cost $385 million
Capacity 100,000 metric tones
Jamaa uwa ni jinga mno
 
This one au sio🤣🤣🤣🤣
View attachment 2919625
Its more expansive though vintage.....
jootrh 2.jpg
 
Sitaki Sgr Hadi keshokutwa na sitaki daraja la Magufuli Hadi kaburini ni maamuzi ya kienyeji yasiyo na Tija.

My problem with Bwawa ni kwamba unaanza kujengwa bwawa la Kuchukua miaka Ili likamilike then hapo katikati huandai vyanzo vya mda mfupi vya kuja kukabiliana na demand inayoongezeka unapojemga bwawa then mtu anakuja kusema Samia amesababisha umeme kukatika,ujinga.

Nachoamini big projects hazihitaji rash maana Huwa Zina athari kubwa Kwa sekta zingine.magufuli alisimamisha Kila kitu anasingizia kujenga bwawa sijui Sgr na blaa blaa kama hizo.

Kama unataka kufanya hayo uwe unajua kutafuta pesa kama Samia Ili sekta zingine zisiparalse.Umewahi sikia Samia anatoa visingizio au Kuna sekta imekwama awamu hii?
Wait kwamba Daraja la Kigogo busisi kwako halifai WTF?

Hiyo SGR unajua imevutia investments ngapi, ambazo zingeenda Kenya ikiwa SGR yao ingefika Uganda?

Hopeless kabisa.

For your information hizo ndio strategic kabisa zote unazokataa sio kujaza nchi nzima mabango ya nani kama mama
 
Back
Top Bottom