Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Achana nao hao, mkenya ni mtu asiependa kushindwa na mtanzania kwa namna yoyote😀😀😀😀😀

Ndio maana ukitazama mgonvi wao mkubwa ni mtanzania.
Nimeangalia kwote na sijaona kitu Tanzania inashindia Kenya. Labda kuongea Kiswahili tu
 
Sisi sio kama nyie mlio dandia kucopy hadi tower za watu wakati mnapesa kiduchu mkaona mjenge little sijui muitwe new york ndogo
4d39bf8f2340b8226aeb711328ac3908.jpg
a5f105543190f7a3882aa72a4dc25457.jpg

Yani inasikitisha.😀
 
Back
Top Bottom