Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nitafrahi siku mtu akichukua arial view ya CDB yote
Atleat posta, kkoo, upanga
Maana apo naona POSTA na some part of Kkoo coz ata mnazmoja naona haipo apo
Ushirika tower lililo katkat ya mnazmoja halipo apo
Hapo kariakoo haijaguswa hata ncha😀😀😀😀
 
if you remove the two govt towers dar will look like mogadishu...zero architecture
Chukua jengo lolote afu uesabu nomber of flrs
Hayo ni magiants
Ata kwa kuangalia huwez yafananisha hayo na hvyo vi Britam vyenu
Afu chukua picha ya Jengo refu la nairobi angalia la pembeni hesab flr nalo ndo ujue kuwa haya ni ma east african jiants

TPA 178M
 
Magufuli chuma😀😀😀 ya aina yake katika ukanda huu wa africa mashariki
IMG_1204.JPG
 
Watu mnabishana aseee! Ila mkikutana nje ya Africa ni ndugu! Good continue with your altercations.

Proudly to be Tanzania. Karibu Nyamongo!.
uzuri wa thread hii ni kwamba kadili unavyozidi kushiriki katika mjadala ndivyo akili yako inavyozidi kupevuka katika uelewa wa masuala ya kimataifa kwasababu hubishani tu hivihivi,kuna wakati utalizimika kwenda ktk source nyingine ili u-cross check usahihi wa taarifa unazotaka kuziwasilisha.

mfano,statistics mbalimbali kuhusu uchumi wa kenya au tz,taarifa za miradi mbalimbali ya maendeleo kati ya kenya au tz nk.

it's not an easy job for someone who does not participate in discussions that involve people from two different countries.
 
uzuri wa thread hii ni kwamba kadili unavyozidi kushiriki katika mjadala ndivyo akili yako inavyozidi kupevuka katika uelewa wa masuala ya kimataifa kwasababu hubishani tu hivihivi,kuna wakati utalizimika kwenda ktk source nyingine ili u-cross check usahihi wa taarifa unazotaka kuziwasilisha.

mfano,statistics mbalimbali kuhusu uchumi wa kenya au tz,taarifa za miradi mbalimbali ya maendeleo kati ya kenya au tz nk.

it's not an easy job for someone who does not participate in discussions that involve people from two different countries.

Hapo nakubaliana nawe kabisa...ni mara mingi sana nimefanya cross-check kabla kuwasilisha hoja. ubaya ni kwamba wenzako wabongo hawakubali ukweli hata kama inadhihirika aje
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] sasa jengo ni short kama MWALA,ndio mfidie na limnara reeeefu.ikiwa jengo ni refu hamna haja ya mlingoti wote huo.
Jiulize ni kwa nini lile jengo la NY uliofananisha na Britam lina mnara japo ni refu zaidi.
 
uzuri wa thread hii ni kwamba kadili unavyozidi kushiriki katika mjadala ndivyo akili yako inavyozidi kupevuka katika uelewa wa masuala ya kimataifa kwasababu hubishani tu hivihivi,kuna wakati utalizimika kwenda ktk source nyingine ili u-cross check usahihi wa taarifa unazotaka
kuziwasilisha.
mfano,statistics mbalimbali kuhusu uchumi wa kenya au tz,taarifa za miradi mbalimbali ya maendeleo kati ya kenya au tz nk.

it's not an easy job for someone who does not participate in discussions that involve people from two different countries.

Nakubaliana nawe
 
Sisi sio kama nyie mlio dandia kucopy hadi tower za watu wakati mnapesa kiduchu mkaona mjenge little sijui muitwe new york ndogo
4d39bf8f2340b8226aeb711328ac3908.jpg
a5f105543190f7a3882aa72a4dc25457.jpg
We copied 1 tower, you guys copied an entire city called Port of Spain

Ma PSPF, BOT na TPA zote mlicopy-paste toka hapa, tazama

country%20scene.jpg
 
Back
Top Bottom