Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,683
- 107,124
MTU anaongea lugha za kishenzi za Gikuyu hawezi ona tatizo!🤣🤣🤣 Mr English man, can you please tell us the two big differences between the two sentences you constructed.?
MTU anaongea lugha za kishenzi za Gikuyu hawezi ona tatizo!🤣🤣🤣 Mr English man, can you please tell us the two big differences between the two sentences you constructed.?
Picha moja imemaliza kila kitu au nasema uongo 😂😂😂😂😂😂
How can someone in their right mind compare a city like Paris established in the 250 BC with a city which took off in 1990s alafu wana catch feelings 😂😂Hii discussion imefanyika humu mara nyingi Sana. Hawa jamaa na kushobokea wachina hawajambo. Inaashiria uelewa Mdogo wa miji architecture na livability. Yani wao wakiona tu modern skyscrapers basi hiyo ndio kila kitu. Utasumbuka Sana. Huyo unayebishana naye ni mtoto asiyepita miaka 24, we can forgive him for that until he gets enough exposure.
Kijana unajua unajichora ushamba wako? Kwanza leo vest yako umevaa vizuri?Ulitaka kukasirisha mtanzania mwambie mambo WiFi, Netflix, KFC, JAVA, Pizza Inn, Bolt, Uber, Glovo and other multinational brands.
Hapo lazima mkosane.
Hapa ni wapi? 😂 😂😂👇👇Picha moja imemaliza kila kitu au nasema uongo 😂😂😂😂😂😂
Kwann picha ya usiku iko wapi picha ya mchana😂😂😂😂😂Hapa ni wapi? 😂 😂😂👇👇![]()
Hongera kijana una moyo, sasa hapo unajiona umeyapatia maisha?That's not a TV showcase, that's a study table.
Alafu uje nikununulie Chakula, sawa?
View attachment 2915714
Ju ghorofa zinabadilika usiku. 😂 😂 😂Kwann picha ya usiku iko wapi picha ya mchana😂😂😂😂😂
Kuna kitu hapo nikwambie, hiyo ya juu hapo kenya inamilikiwa na watu wenye share ya keki ya taifa.Today on Kenyan architecture vs Vitenge architecture we are doing bungalows.
This is Kenya's old school bungalow btw. The design was popular in the 90s.
![]()
Alafu kuna kitenge 🤣 🤣
![]()