Pale punguani mmja anapojifanya Yuko focused 😁😁😁😁
Miundombinu ya kuhifadhi Mafuta sio tuu ni Kwa Ajili ya strategic reserves ya Nchi Bali ni pamoja na kuifanya Tanzania kuwa hub ya Mafuta Kwa majirani hasa wa SADC.
Hivi karibuni Tanzania na Zambia wamekubaliana kujenga bomba jingine la kusafirisha Mafuta pamoja na Bomba la gas.
View attachment 2916226
So Mbarawa anaenda kuweka Jiwe la msingi la jambo la maana kabisa ,hatutarajii kurudi kule kwenye shida ya Mafuta kama mwaka Jana.Tukiwa na uwezo wa kuhifadhi Mafuta walau Kwa mwaka 1 itakuwa ni hatua kubwa.
Mengine ni pumba zako tuu hazina maana.
View attachment 2916235