Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kaitaba Stadium-Kagera🔥🔥
20240225_185136.jpg
20240225_185134.jpg
20240225_185129.jpg
20240225_185131.jpg
 
Kuna kitu hapo nikwambie, hiyo ya juu hapo kenya inamilikiwa na watu wenye share ya keki ya taifa.

Hapo chini ya Tz, inamilikiwa na mtu wa kawaida na imejengwa na mafundi hata hawajaingia darasani.
Wacha nisipingane nawewe. Tupostie bungalow ya Bongo yenye inamilikiwa na watu wenye share ya Keki ya Taifa tuione basi.
 

Kwanza shukuru Mzee magufuli kwa hii kitu we chawa.

Mzee alifanya maamuzi magumu, bila kujali kelele za mazingira na kelele za wazungu mpaka funds akakosa akachukua funds za Ndani trillion 6, kuweka hapo.

Alipokufa mkataka kuja kulihujumu mara crane, mara legacy, ila leo ndilo mnalitumia kupata pa kutokea.

Wakati even before this Magufuli aliyatumia vizuri mabwawa yaliyopo.

Vipi siku hizi Kinyerezi na ubungo zinaoperate?
 
Wacha nisipingane nawewe. Tupostie bungalow ya Bongo yenye inamilikiwa na watu wenye share ya Keli ya Taifa tuione basi.
Hiyo unaizungumziaje brothee?
 

Attachments

  • Screenshot_2024-02-25-19-24-50-09_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    Screenshot_2024-02-25-19-24-50-09_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    236.3 KB · Views: 8
Kwanza shukuru Mzee magufuli kwa hii kitu we chawa.

Mzee alifanya maamuzi magumu, bila kujali kelele za mazingira na kelele za wazungu mpaka funds akakosa akachukua funds za Ndani trillion 6, kuweka hapo.

Alipokufa mkataka kuja kulihujumu mara crane, mara legacy, ila leo ndilo mnalitumia kupata pa kutokea.

Wakati even before this Magufuli aliyatumia vizuri mabwawa yaliyopo.

Vipi siku hizi Kinyerezi na ubungo zinaoperate?
Wafuasi wa mama kizimkazi wanashangaza!!?
Baniani mbaya(Marehemu Magufuli) kiatu chake dawa(miradi aliyoianzisha na kuiacha).
Shenzi sana hawa watu.
 
How can someone in their right mind compare a city like Paris established in the 250 BC with a city which took off in 1990s alafu wana catch feelings 😂😂
Iamlee …sorry nilichanganyikiwa … I didn’t realize you are on my side…. My apologies… it’s erased…
 
Kwanza shukuru Mzee magufuli kwa hii kitu we chawa.

Mzee alifanya maamuzi magumu, bila kujali kelele za mazingira na kelele za wazungu mpaka funds akakosa akachukua funds za Ndani trillion 6, kuweka hapo.

Alipokufa mkataka kuja kulihujumu mara crane, mara legacy, ila leo ndilo mnalitumia kupata pa kutokea.

Wakati even before this Magufuli aliyatumia vizuri mabwawa yaliyopo.

Vipi siku hizi Kinyerezi na ubungo zinaoperate?
Swala mgao Kwa heri 👇

View: https://www.instagram.com/p/C3x82Tzi4Nd/?igsh=OW9iY2VsdmN5NTg3

View: https://youtu.be/pZA9A0WWTcA?si=mrIX4v1ILea2kwjt
 
Wafuasi wa mama kizimkazi wanashangaza!!?
Baniani mbaya(Marehemu Magufuli) kiatu chake dawa(miradi aliyoianzisha na kuiacha).
Shenzi sana hawa watu.
Alafu walivyowajinga wanataka kuidumaza.

Mtu kaweka Trillion 1, bandari ya dar ukarabati alafu wanataka kumpenyezea DP WORLD anufaike na huo uwekezaji 😡

Hivi vituo vya afya nakumbuka vilianzishwa na magufuli na kuna hotuba yake anavitaja kabisa hospital za rufaa, hospital za wilaya, na zahanati za vijiji.

Mzee yule akipata pesa tu anataka kuifuta kero, wami ipo toka enzi na enzi ila alipoingia ni saini hii hapa kitu pyaa,

Foleni Dar tulianza kuzisahau, na mifumuko ya bei ilikua inadhibitiwa kweli kweli.

Hao wajinga waliona hawatakua na airtime ikabidi watembee na miradi hiyo na wasivyo na aibu wanasema samia katoa shilling...

Kila sekta strategic initiator ni mzee, mpaka hili dubwana la Air Tanzania Cargo.

Nina swali moja kwa machawa.

Kuna ujinga mwingi unaendelea, angalia majibu ya viongozi wa chini like Chalamila kwa changamoto tu unapata jibu ya uongozi wa juu ulivyo.
 
Back
Top Bottom