Halafu ninyi jamaa wapekuzi!Sasa ukishaanza kulishwa na bibi nani atakuwa ndume wa nyumba? Wewe ama bibi?😂😂
Insta account ya jamaa wewe umeijuajee??
Mnaanza kunitisha humu ndani🤣🤣🤣
Halafu ninyi jamaa wapekuzi!Sasa ukishaanza kulishwa na bibi nani atakuwa ndume wa nyumba? Wewe ama bibi?😂😂
Huyo Sama boy 255 anapewa kila kitu na bibi. Siku watakosana atafukuzwa bila kupewa hata kijiko sababu bibi amenunua everything kwa nyumba.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hamna unajua haya maisha yana mtizamo tofauti bro.
Mwanaume kulishwa na mwanamke hakuondoi uanaume wake ila inategemea unalishwa kwa aspects zipi na nyakati zipi.
Mie nataka tu nifaham kaka insta acc yako jamaa kaijuaje.Ilibidi tuonyeshane kidogo ili heshima ifuate mkondo wake, najua nawakwaza wakubwa ila nitaachana na hiyo mbwa sio muda ili tuendelee na vitu vinavyotuweka hapa.
Kaka mie ngoja niwaache mmalizane maana daaah!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.Huyo Sama boy 255 anapewa kila kitu na bibi. Siku watakosana atafukuzwa bila kupewa hata kijiko sababu bibi amenunua everything kwa nyumba.
Mimi sina ugomvi na mtu. I'm only dancing to his songs😊😊Kaka mie ngoja niwaache mmalizane maana daaah!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Huu ugomvi wa ngumi.
Si hata nyinyi mmepata misaada ya Chakula kutoka Qatar?😂😂🤣
Ni rahisi tu kujua hivyo mbona, na ndio maana nilivyoamua kupost hizo picha sikutaka ku hide chochote, kwasababu yes huyo ndio ni mimi.Mie nataka tu nifaham kaka insta acc yako jamaa kaijuaje.
Maana hapana aisee.
Mbona unahangaika na picha zangu za utotoni.? 🤣🤣🤣🤣🤣 This is you
Do you know how pangla punglu looks like?Mbona unahangaika na picha zangu za utotoni.? 🤣🤣🤣🤣🤣 This is you View attachment 2909962🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 Ikiwa ni kweli kwamba nalelewa mbona unyama tu, heb cheki nnavyopondwa huku 👇Huyo Sama boy 255 anapewa kila kitu na bibi. Siku watakosana atafukuzwa bila kupewa hata kijiko sababu bibi amenunua everything kwa nyumba.
Lest do comparison between these two pictures 👇
There's a big difference between kupendwa and simping, wewe unasimp.🤣🤣🤣🤣🤣 Ikiwa ni kweli kwamba nalelewa mbona unyama tu, heb cheki nnavyopondwa huku 👇View attachment 2909964mimi nikijua nakuweza nakua na karaha sana. 🤣🤣🤣 Endelea kuumia, hiyo ilikua last year before Ramadan
Lete evidence mahali umetoa the house cost 25m to buildHii nyumba imegharimu zaidi ya ksh million 25, ni sawa kabisa kuiita mansion sababu ni very expensive kwa Kunyaland na sio kila mtu anaweza afford
View attachment 2908730
Baadala ya kulishwa na bibi tunaezakukusanyia pesa hapa JF ukuje Kenya ufanye kazi ya omba omba barabarani 😂😂🤣.Lest do comparison between these two pictures 👇View attachment 2909970vs your best picture enye umechagua kupost ukitamba tutambia kuwa wewe ni mjanja 👇View attachment 2909971🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 Mimi napendwa na watu, hadi rafiki zangu wa kike wananitamani 👇There's a big difference between kupendwa and simping, wewe unasimp.
Unajua tu vizuri usiposimp utakosa Pesa za bundles 😂😂😂.
🤣🤣🤣🤣 We unakaa wale bandit huko kwenu ona 👇Baadala ya kulishwa na bibi tunaezakukusanyia pesa hapa JF ukuje Kenya ufanye kazi ya omba omba barabarani 😂😂🤣.
Chattings za umaskini hizi.🤣🤣🤣 Mimi napendwa na watu, hadi rafiki zangu wa kike wananitamani 👇View attachment 2909982🤣🤣🤣🤣 yaani mimi ni sukari yao
Huyo halishwi na bibi😂😂😂😂. Huyo Ako na kazi.🤣🤣🤣🤣 We unakaa wale bandit huko kwenu ona 👇View attachment 2910003🤣🤣🤣🤣
Wivu itakumaliza 🤣🤣🤣 👇Chattings za umaskini hizi.
Ebu niwaulize watanzania, nyinyi wote simps like this guy ama hii yake imepanda ndege?😂😂😂
There's nothing bad like simping 😂😂
📌📌📌🔨Nishakuzoea wewe.
Mtu mwenye poor reasoning.