Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Shida yenu kawaida huwa kiingereza. Nimeongelea mtaa wa Ridgeways kwa ujumla, Sio hizo nyumba. Khaa! Alafu unapata bado mnaharibu kusahihisha grammar ya mtu humu. You all need English classes for real.🚮🚮
Shida yako inaanzia hapa kwamba unadhani unaongea vitu vya rocket science hata nisikuelewe. Jinga sana😅
 
Sasa hiyo nyumba niliosema typical average home in Tanzania ina tofauti gani na hizi za huku vijijini Tanzania zilizopo pembezoni mwa hiyo shule?

Kunyaland nyumba za aina hii zipo naislum na zenyewe ni za kubahatisha

View attachment 2908719

Wengi wenu mnaishi humu

View attachment 2908721
The one you posted above is not what the average Tanzanian lives in and the one you posted below is not what the average Kenyan lives in. The one you called a 'mansion'in Kenya is nowhere close to even what a standard bungalow is in Kenya. But you're free to please yourself. Stupid people are stupid people. 🚮
 
Rural Tanzania interior kabisa education infrastructures, Kunyaland hii ni impossible

20240219_084518.png
20240219_084533.png
20240219_084759.jpg
20240219_084557.jpg
20240219_085239.jpg
 
Shida yako inaanzia hapa kwamba unadhani unaongea vitu vya rocket science hata nisikuelewe. Jinga sana😅
It's good that you can tell your own weakness. Simple English is Rocket Science to you. Kama hutaelewa hii niambie nikuandikie kwa Kiswahili.😂😂😂
 
The one you posted above is not what the average Tanzanian lives in and the one you posted below is not what the average Kenyan lives in. The one you called a 'mansion'in Kenya is nowhere close to even what a standard bungalow is in Kenya. But you're free to please yourself. Stupid people are stupid people. 🚮
Hii nyumba imegharimu zaidi ya ksh million 25, ni sawa kabisa kuiita mansion sababu ni very expensive kwa Kunyaland na sio kila mtu anaweza afford

images (19).jpeg
 
And you can see even Kenyans are appalled meaning that's not the expected standard of a school here. Furthermore............that is the class that he used when he was a kid and it is no longer in use. This is the new plan of the school you idiot.
GDVHFBKXsAArb2t
Not expected while it's a reality 😂😂😂
Tunza render yako mwenyewe no one needs it here
 
Natilia shaka uelewa wako. Hv kweli unaweza ukasoma jambo ukaelewa wew?😂
Now you're fliping the narrative? Am I the one who failed to understand a simple comparison of Ridgeways Estate to your Estates and thought I was talking about a particular house? Stop projecting. You need a class in comprehension.
 
There is a smart example and a stupid example. You can tell how smart someone is by the examples they give.
First of all, you compared buying in Kenya to building in Tanzania. Building is much cheaper than buying and doesn't include land rate or location. On that alone, it's clear you lack knowledge. Secondly you can't use 3BR as complete description of a house when 3BR can constitute two houses with one house being 50 times more expensive than the other. Kubali huelewi nachosema.
A moron claiming to be smarter.
🤔🤔🤔.
Nimetolea mfano wa kununua na kuuza kesha nikatolea mfano sawia na wa kujenga kwasababu vyote vinawiana.
Gharama ya mauzo ya nyumba inaendana na sambamba na gharama ya ujenzi wa nyumba.
Ukiona nyumba inauzwa ghali sana jiulize kwanini?Eidha gharama ya vifaa ujenzi ghali ama ardhi ni ghali.
Ila kwetu iko tofauti.
Unashida katika uelewa wako.
 
So in your stupid mind you think you can compare Masaki to Muthaiga or Kigamboni to Ridgeways or Mbezi to Muthaiga? Unaitaji daktari wewe.
Acha kuimba taarabu za Mombasa kunguni weweee!
Unataka tulinganishe aje kwa hizo sehemu mbili??
Kama paved roads kote zipo,mitaa imepangika,kuna sewage system n.k n.k.
Wewe unasemaje hapafikii hadhi???
Leta ulinganisho sio mipasho.
 
A moron claiming to be smarter.
🤔🤔🤔.
Nimetolea mfano wa kununua na kuuza kesha nikatolea mfano sawia na wa kujenga kwasababu vyote vinawiana.
Gharama ya mauzo ya nyumba inaendana na sambamba na gharama ya ujenzi wa nyumba.
Ukiona nyumba inauzwa ghali sana jiulize kwanini?Eidha gharama ya vifaa ujenzi ghali ama ardhi ni ghali.
Ila kwetu iko tofauti.
Unashida katika uelewa wako.
You compared buying in Kenya to building in Tanzania.
You have to compare building to building, buying to buying.
The cost of buying is way higher than building because buying includes the developers profits and additional government taxes. The cost of buying is normally more than double that of building. A smart person would understand that.
You're so stupid even simple things are a mountain to you.
Teargas you are right. All Tanzanians are stupid.
 
Back
Top Bottom