ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Hizi ni Dalili kua umepigwa kwenye mshono 😁😁So kazi Yako ni babysitting while your wife anatufuta kitu utakula usiku?
I'm sure hadi nguo pia unanunuliwa na bibi.
Hizi ni Dalili kua umepigwa kwenye mshono 😁😁So kazi Yako ni babysitting while your wife anatufuta kitu utakula usiku?
I'm sure hadi nguo pia unanunuliwa na bibi.
Alaf anakwambia hostel hio corridor tu utasema vyoo vya walevi 😁😁😁😁😁Kama watu tunabishana nao ndio hawa, tuna kazi ngumu sana. Jitu linatamba na picha akiwa sijui jela!!
Lakini ana mwandiko wa kike huyu anatuzuga tuu ni manzi hii.Bora umesema mapema wewe sio bibi hata mimi nilikuwa napiga hesabu ya kuja inbox kukuomba mbususu!Shauri yako kaa rada next time utaliwa kiboga hatuna masihara sisi 😂
Mtoto mdogo (in TIDs voice) 😂
Wakunya huyu sio waziri
View: https://twitter.com/fumbokhanJr/status/1759808247827992916?t=Vvfanv0ZWhPj8KGQyZ0K2g&s=19
Sasa naelewa kwanini ilishindikana kuonesha bank statement.Kama watu tunaojadiliana nao ndio hao is the wastage of Time. Yaani tunajadiliana na takataka hii 😡 😡 😡 😡 👇👇👇
View attachment 2910049
Mmoja hapo ni handyman angalia mikono 🤣🤣🤣Lest do comparison between these two pictures 👇View attachment 2909970vs your best picture enye umechagua kupost ukitamba tutambia kuwa wewe ni mjanja 👇View attachment 2909971🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tunapoteza nguvu kubwa kumbe tunajadiliana na watoto. Nimeumia sana 😢😢😢😢😢Sasa naelewa kwanini ilishindikana kuonesha bank statement.
Nini hiki 😂😂😂
Duh huyu nani mkuu mbona uso umeparara hivi?Wivu itakumaliza 🤣🤣🤣 👇View attachment 2910006🤣🤣🤣🤣
Hata mimi ndio maana nimeona nipige kimya humuTunapoteza nguvu kubwa kumbe tunajadiliana na watoto. Nimeumia sana 😢😢😢😢😢
Hawa hawana analytical thinking ni watu wa kuwa carried na moment tuu.Cost of living in US ni kubwa kama utajipima na kamshahara kako unakolipwa ila kwa wao kule ni kawaida kwasababu mishahara yao sio kama yetu huku, kingine usijilinganishe na nchi zilizoendelea hautopata vipimo sahihi, wewe hapo kibera unalipwa ksh 50k na ni miongoni mwa walimu wanaolipwa pesa nzuri lkn kule US mtu wa kawaida mbeba mabox utakuta mshahara anaolipwa kwa mwezi ni zaidi ya mishahara yako kumi, uwiano uko wapi hapo.
Brother sio watoto tu! Bali ni wale wakitoka humu wanaenda kunya kwenye plastic bag then wanalala na kinyesi ndani.Tunapoteza nguvu kubwa kumbe tunajadiliana na watoto. Nimeumia sana 😢😢😢😢😢
Inaonekana ulisoma kwa tabu kweli kiasi kwamba kuamini mtu anaweza akafika chuo kikuu unaona ni kitu ambacho hakiwezekani😄Umeonyeshwa picha akiwa hostel wewe unapost picha ukiwa mitaani na swaga za kipuuzi unasema ulikuwa chuo kikuu. Tuonyeshe picha ukiwa chuo kikuu. 🤣
Hadi wenye wanateseka in this world pia wanaongea.Kama watu tunaojadiliana nao ndio hawa; is the wastage of Time. Yaani tunajadiliana na takataka hii 😡 😡 😡 😡 👇👇👇
View attachment 2910049
Unaongea hapa na uko na less than 100,000 in your account. Why should I discuss money matters with a poor nigga like you?Sasa naelewa kwanini ilishindikana kuonesha bank statement.
Nini hiki 😂😂😂
Huyo mtoto anakushinda kwa pesa. Huyo mtoto anaishi maisha mzuri kukuliko. Huyo mtoto amesoma kukuliko.Tunapoteza nguvu kubwa kumbe tunajadiliana na watoto. Nimeumia sana 😢😢😢😢😢