The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Shoga ilo c umeona hapo linakuuliza lilale na mzee wako 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Leo unataka kututambulisha kuwa wewe ni bisexual? 🤣 🤣 🤣
Shoga ilo c umeona hapo linakuuliza lilale na mzee wako 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Leo unataka kututambulisha kuwa wewe ni bisexual? 🤣 🤣 🤣
Wivuuuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Getting excited over useless things. I guess the statue will stabilize electricity in Tanzania.
Hili senge kweli wallahi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣How many industries have been built or planned for Magufuli City? How many schools? How many IT hubs? Answer that then you'll understand what I'm talking about.
Sasa hiyo ni nini umesema? Watanzania ni wajinga.🚮🚮Cost of what? Cost cost cost cost cost cost cost cost cost
Cost means money 🚮
Kwahiyo wewe kwa akili yako unataka kulinganisha Tatu street na Magufuli city, hivi umeenda shule wewe?Kwa hivo umekubali Tatu is better than Magufuli City? Maanake unangángána kulinganisha Tatu na Dodoma yote including Magifuli City.
Mnaona akili ya wakenya ilivyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wacha kukwepa mjadala, kati ya Tatu na Magufuli City which is better?
Huyu nani, sio wewe huyu, wakenya hamna akili 👇👇Sasa hiyo ni nini umesema? Watanzania ni wajinga.🚮🚮
Sasa Azam akileta pesa tukatae? For your information Kenyans watch local matches KBC. Hiyo Azam anakuliwa tu pesa bure.KBC haina HD kama ya azam sports.
Ingekua KBC inatosha msingetaka kuingia mkataba na Azam kuonesha ligi yenu.
Unajua kwanini mmeingia mkataba na Azam kuonesha ligi yenu???
Unaambiwa ukweli we fala, cost of living means money kimaa. 🤣🤣🤣Sasa hiyo ni nini umesema? Watanzania ni wajinga.🚮🚮
🤣🤣🤣 Kwenye battle za watoto wa kimaskini kuhusu baba zao ndio unaweza patana na this foolish type of reasoning🤣🤣🤣 we jamaa ni fala kweli weweSasa Azam akileta pesa tukatae? For your information Kenyans watch local matches KBC. Hiyo Azam anakuliwa tu pesa bure.
Nimesema purchasing power is not cost of living. Ni nini hapo hamuelewi? Watanzania ni wajinga.🚮🚮Unaambiwa ukweli we fala, cost of living means money kimaa. 🤣🤣🤣
No match , government Schools in Tanzania 👇👇
View: https://twitter.com/RashdaZunde/status/1759507419380527380?t=njxF36vXBhd2qUdywKbu2A&s=19
Angalia hiyo shule Tanzania imejengwa kwa ksh 96 million ina jengo la utawala, vyumba 28 vya madarasa ya ghorofa, matundu 25 ya vyoo, maabara 3 za sayansi (biology, physics and chemistry) na chumba cha TEHAMA (computer lab)Sasa hiyo ni nini umesema? Watanzania ni wajinga.🚮🚮
Wewe ni kiazi au kiande, au dunderhead 🤣🤣🤣Nimesema purchasing power is not cost of living. Ni nini hapo hamuelewi? Watanzania ni wajinga.🚮🚮
Zuku ilishakufa huku Tanzania hata mimi nilikuwa nayo sasa hivi ni histori.Azam enyewe hata haijulikani Tanzania🤣🤣🤣
Hawaelewi lugha ya KiingerezaSasa hiyo ni nini umesema? Watanzania ni wajinga.🚮🚮