Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa hiyo ni nini umesema? Watanzania ni wajinga.🚮🚮
Huyu nani, sio wewe huyu, wakenya hamna akili 👇👇
Screenshot_20240219-122922~2.png
 
Sasa Azam akileta pesa tukatae? For your information Kenyans watch local matches KBC. Hiyo Azam anakuliwa tu pesa bure.
🤣🤣🤣 Kwenye battle za watoto wa kimaskini kuhusu baba zao ndio unaweza patana na this foolish type of reasoning🤣🤣🤣 we jamaa ni fala kweli wewe
 

Sasa hiyo ni nini umesema? Watanzania ni wajinga.🚮🚮
Angalia hiyo shule Tanzania imejengwa kwa ksh 96 million ina jengo la utawala, vyumba 28 vya madarasa ya ghorofa, matundu 25 ya vyoo, maabara 3 za sayansi (biology, physics and chemistry) na chumba cha TEHAMA (computer lab)

Wakati Kunyaland mmetumia ksh 100 million kujenga 2 storey library

Pesa hipi ina purchasing power kubwa baina ya tsh na ksh hapa? 🤔

images (26).jpeg



View: https://twitter.com/RashdaZunde/status/1759507419380527380?t=SaVn49MiHsanHCLeGW1OsA&s=19
 
Back
Top Bottom