Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

It's impossible because Dodoma haijafika level ya Tatu City na pia haitawaifika hizo levels.

Do Dodoma even have industries?
🀣🀣🀣🀣 Siwezi engage hiyo discussion my dear sister. Kwasababu the entire tatu City ni sawa na mtaa mmoja within Dodoma. Ntalinganishaje mitaa na mji mzima.? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
🀣🀣🀣🀣 Siwezi engage hiyo discussion my dear sister. Kwasababu the entire tatu City ni sawa na mtaa mmoja within Dodoma. Ntalinganishaje mitaa na mji mzima.? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mji bila industries? Dodoma ni tu kama Isiolo hawker man. Mtu akikuskia unajaribu kulinganisha Dodoma na Tatu City atakucheka tu.
 
Tatu City ni investment inayotengeneze pesa na ajira. Dodoma ni majengo ya serikali ambayo hayataimprove chochote kwa uchumi wa Tanzania. Kama unaakili utaelewa.
What do you about DODOMA.? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mana sikuelewi unazungumzia vitu gani,
 
Utalii wa Ndani Time

1. Kitulo Njombe


1708274637962.png


1708274692598.png
 
Mji bila industries? Dodoma ni tu kama Isiolo hawker man. Mtu akikuskia unajaribu kulinganisha Dodoma na Tatu City atakucheka tu.
Who told you that there's no industries in DODOMA πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nimekwambia mimi sio chizi nilinganishe mtaa mmoja vs DODOMA City, hiyo discussion it's no for me
 
Who told you that there's no industries in DODOMA πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nimekwambia mimi sio chizi nilinganishe mtaa mmoja vs DODOMA City, hiyo discussion it's no for me
Show us those industries I want to see somethingπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
How many industries have been built or planned for Magufuli City? How many schools? How many IT hubs? Answer that then you'll understand what I'm talking about.
Mjomba, Magufuli city is just a part of the DODOMA city, a city within City .. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Magufuli city is an administrative City, don't expect to see manufacturing sheds in there.. unajua kwamba ndani ya DODOMA City kuna hadi kambi za kijeshi.? Popular brands in Tz and East Africa like QFL Magodoro DODOMA, DOMPO wine n.k .? Unajua kwamba within DODOMA city kuna SGR .?

How can you compare a street like tatu to DODOMA City .? Did you know that Magufuli city is 17 km from DODOMA City center.? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
There are no formulary in fighting. If you start a fight with a fist don't expect your opponent to also come with a fist. Yeye anaezakuja na bazuko.

Again for your information, usiwahinitisha cause hakuna kitu unaezanifanya mbwa hii.
 
Show us those industries I want to see somethingπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
I will never engage hiyo discussion my boi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ siwezi linganisha mtaa na jiji, ni chizi wewe tu ndio unaweza kufanya huo upumbavu..

Sorry umenikosa. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mjomba, Magufuli city is just a part of the DODOMA city, a city within City .. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Magufuli city is an administrative City, don't expect to see manufacturing sheds in there.. unajua kwamba ndani ya DODOMA City kuna hadi kambi za kijeshi.? Popular brands in Tz and East Africa like QFL Magodoro DODOMA, DOMPO wine n.k .? Unajua kwamba within DODOMA city kuna SGR .?

How can you compare a street like tatu to DODOMA City .? Did you know that Magufuli city is 17 km from DODOMA City center.? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Any Tatu City is simply a City within the larger Nairobi metro. But for now we are comparing Tatu City to Magufuli City which are both purpose made Cities within a City. You always claim Magufuli is better and I'm telling you it's not.
 
I will never engage hiyo discussion my boi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ siwezi linganisha mtaa na jiji, ni chizi wewe tu ndio unaweza kufanya huo upumbavu..

Sorry umenikosa. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ukiambiwa ulete industries za Dodoma unakasirika kweli kweli πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£.

Imagine Tatu City with its small size has more industries than Dodoma. Dodoma ni level ya Isiolo.
 
Back
Top Bottom