Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Yani Kibera has good roads kuliko Mbezi Beach.πππTanzania na barabara za Estate ni mbingu na ardhi.
Yani Kibera has good roads kuliko Mbezi Beach.πππTanzania na barabara za Estate ni mbingu na ardhi.
π€£π€£π€£π€£ Siwezi engage hiyo discussion my dear sister. Kwasababu the entire tatu City ni sawa na mtaa mmoja within Dodoma. Ntalinganishaje mitaa na mji mzima.? πππIt's impossible because Dodoma haijafika level ya Tatu City na pia haitawaifika hizo levels.
Do Dodoma even have industries?
Mji bila industries? Dodoma ni tu kama Isiolo hawker man. Mtu akikuskia unajaribu kulinganisha Dodoma na Tatu City atakucheka tu.π€£π€£π€£π€£ Siwezi engage hiyo discussion my dear sister. Kwasababu the entire tatu City ni sawa na mtaa mmoja within Dodoma. Ntalinganishaje mitaa na mji mzima.? πππ
What do you about DODOMA.? πππ Mana sikuelewi unazungumzia vitu gani,Tatu City ni investment inayotengeneze pesa na ajira. Dodoma ni majengo ya serikali ambayo hayataimprove chochote kwa uchumi wa Tanzania. Kama unaakili utaelewa.
Watanzania wote ni wajinga.What do you about DODOMA.? πππ
How many industries have been built or planned for Magufuli City? How many schools? How many IT hubs? Answer that then you'll understand what I'm talking about.What do you about DODOMA.? πππ Mana sikuelewi unazungumzia vitu gani,
Dodoma enyewe hata Haina drainage system tofauti na zile open gutters.How many industries have been built or planned for Magufuli City? How many schools? How many IT hubs? Answer that then you'll understand what I'm talking about.
Who told you that there's no industries in DODOMA ππππ nimekwambia mimi sio chizi nilinganishe mtaa mmoja vs DODOMA City, hiyo discussion it's no for meMji bila industries? Dodoma ni tu kama Isiolo hawker man. Mtu akikuskia unajaribu kulinganisha Dodoma na Tatu City atakucheka tu.
Show us those industries I want to see somethingπππWho told you that there's no industries in DODOMA ππππ nimekwambia mimi sio chizi nilinganishe mtaa mmoja vs DODOMA City, hiyo discussion it's no for me
Mjomba, Magufuli city is just a part of the DODOMA city, a city within City .. πππ Magufuli city is an administrative City, don't expect to see manufacturing sheds in there.. unajua kwamba ndani ya DODOMA City kuna hadi kambi za kijeshi.? Popular brands in Tz and East Africa like QFL Magodoro DODOMA, DOMPO wine n.k .? Unajua kwamba within DODOMA city kuna SGR .?How many industries have been built or planned for Magufuli City? How many schools? How many IT hubs? Answer that then you'll understand what I'm talking about.
There are no formulary in fighting. If you start a fight with a fist don't expect your opponent to also come with a fist. Yeye anaezakuja na bazuko.
Again for your information, usiwahinitisha cause hakuna kitu unaezanifanya mbwa hii.
Yani kutaja kampuni mbili pekee unaanza kuhema unasema nakadhalika?π€£π€£ππPopular brands in Tz and East Africa like QFL Magodoro DODOMA, DOMPO wine n.k .?
I will never engage hiyo discussion my boi πππππ siwezi linganisha mtaa na jiji, ni chizi wewe tu ndio unaweza kufanya huo upumbavu..Show us those industries I want to see somethingπππ
Any Tatu City is simply a City within the larger Nairobi metro. But for now we are comparing Tatu City to Magufuli City which are both purpose made Cities within a City. You always claim Magufuli is better and I'm telling you it's not.Mjomba, Magufuli city is just a part of the DODOMA city, a city within City .. πππ Magufuli city is an administrative City, don't expect to see manufacturing sheds in there.. unajua kwamba ndani ya DODOMA City kuna hadi kambi za kijeshi.? Popular brands in Tz and East Africa like QFL Magodoro DODOMA, DOMPO wine n.k .? Unajua kwamba within DODOMA city kuna SGR .?
How can you compare a street like tatu to DODOMA City .? Did you know that Magufuli city is 17 km from DODOMA City center.? πππ
Hata hiyo na kadhalika unajua maana yake kwa kiswahili rahisi.? πππ Au unataka kuonekana relevant.? πππYani kutaja kampuni mbili pekee unaanza kuhema unasema nakadhalika?π€£π€£ππ
Ukiambiwa ulete industries za Dodoma unakasirika kweli kweli πππ€£.I will never engage hiyo discussion my boi πππππ siwezi linganisha mtaa na jiji, ni chizi wewe tu ndio unaweza kufanya huo upumbavu..
Sorry umenikosa. πππ