Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapa ni lower Kabete, nionyeshe sehemu kali kushinda hapa Oyster bay. 🤣🤣
IMG_6845-scaled.jpg
1gcsdvdbnvbvbvbnvbvbvfdnvfdn.webp
55713f64-f239-4454-9165-0f73c2907efc-0.jpg


View: https://www.youtube.com/watch?app=desktop&v=Df6vSyCN5Uo

Nimekwambia hivi you can't stand a chance lil broh 😂😂😂 Mikocheni is far better than this vumbi estate. 😂😂😂 O bey haipo kulinganisha na takaka hizi mzee 🤣 🤣🤣
 
Wacha nirudie nilichosema na ulichoelewa ndio uone ujinga wako.
Post yangu hii hapa, nikasema Ridgeways is a premium neighborhood and is better than anything in Dar. Kwa Kiswahili - Ridgeways ni mtaa wenye hadhi na ni bora kuliko wowote hapo Dar.


Hivi ndivyo ulivyoelewa. "Hizo nyumba ni bora kuliko zozote Dar"


Ndio nikakueleza una shida ya kuelewa Kiingereza maanake mimi nimeongelea mtaa, wewe unafananisha nyumba. Ungekua na akili ungekubali makosa yako mambo yaishe ila umeendelea kupingana na kujionea huruma kama yatima.

I hope kwa sasa utauona ujinga wako. 🚮 🚮
Hapa nikubali sikusoma vizuri ila kama ukiamini sielewi neno neighborhood ni sawa pia.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-02-19-10-52-30-61_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    Screenshot_2024-02-19-10-52-30-61_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    259.3 KB · Views: 5
Nimekwambia hivi you can't stand a chance lil broh 😂😂😂 Mikocheni is far better than this vumbi estate. 😂😂😂 O bey haipo kulinganisha na takaka hizi mzee 🤣 🤣🤣
Mbona usipost hizo za Mikocheni tuzione?
 
What Kenyans abroad sent back home in January alone is more than Tanzanian total export to Kenya. It's also more than what Tanzanian beggars and drug traffickers sent back to Tanzania in five years.

 
Hapa nikubali sikusoma vizuri ila kama ukiamini sielewi neno neighborhood ni sawa pia.
Ungekubali from mwanzo badala ya kunitusi tungekuwa tushafunga mjadala kitambo. Anyway, nimekuheshimu maanake naona kidogo uko na roho ya kukubali makosa unlike mwenzako Kosugi mwenye anaweza pingana for days akibadilisha magoli kisa hataki kukubali amekosea.
 
z
Wakenya akili mzigo sana
Barabara moja moja kwa mtaa wa kifahari ni aibu. Njoo Nairobi mitaa ya kifahari kupata barabara ya vumbi labda 1% na pia utapata ni barabara mpya ambayo bado haijafanyiwa planning.
 
Barabara moja moja kwa mtaa wa kifahari ni aibu. Njoo Nairobi mitaa ya kifahari kupata barabara ya vumbi labda 1% na pia utapata ni barabara mpya ambayo bado haijafanyiwa planning.
Anachokisema kina mantiki, relatively gharama za kujenga na kununua nyumba kenya ni kubwa kuliko Tz na sababu kubwa ni ardhi. Wachache wameishikilia.
 
Anachokisema kina mantiki, relatively gharama za kujenga na kununua nyumba kenya ni kubwa kuliko Tz na sababu kubwa ni ardhi. Wachache wameishikilia.
Huyo jamaa hutaweza kumuelewa kattwun.
Atapuyanga huku na kule .
 
Ungekubali from mwanzo badala ya kunitusi tungekuwa tushafunga mjadala kitambo. Anyway, nimekuheshimu maanake naona kidogo uko na roho ya kukubali makosa unlike mwenzako Kosugi mwenye anaweza pingana for days akibadilisha magoli kisa hataki kukubali amekosea.
Kwa mtu kama wewe uliye mgumu kuelewa??
Aisee ni hatari .
 

Attachments

  • IMG_20240127_162302_296.jpg
    IMG_20240127_162302_296.jpg
    2.4 MB · Views: 6
  • IMG_20240127_162259_520.jpg
    IMG_20240127_162259_520.jpg
    1.9 MB · Views: 6
  • IMG_20240127_162256_758.jpg
    IMG_20240127_162256_758.jpg
    2.5 MB · Views: 6
Back
Top Bottom