Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Maana FKF league ukitaka kutizama lazima utizame Azamsport 1 au Azamsports 3 na hizo channel huwezi kuwa nazo mpaka uwe na decoder ya Azamtv.
Akili mtu wangu, akili kaka, wakenya hawana akili 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Japokuwa sijakamalizia kamjengo kangu ila kamepauliwa unyama ni mwingi
Angalia mafundi wa mitaani Tanzania, hawa ni mafundi wanaojenga nyumba za mitaani kawaida tu, Kunyaland hii profession hakuna

Wakundustan wakubali kwenye vocational and technical works hawana ubavu wa kupambana na mtanzania wakundustan wapo vizuri kwenye literatures lakini sio practicals

20240219_120016.jpg
20240219_120014.jpg
20240219_120013.jpg
20240219_120011.jpg
 
Back
Top Bottom