Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Unataja kampuni mbili na unaanza kuhema Sasa ukiambiwa utaje kampuni kumi zenye ziko Dodoma si utakufa Sasa😂😂Hata hiyo na kadhalika unajua maana yake kwa kiswahili rahisi.? 😂😂😂 Au unataka kuonekana relevant.? 😂😂😂