chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,125
Outskirts of Dom
Hii maneno ya paa hata Nigeria ipo!Watanzania tupo unique sana na the rest of Africans, tunaongea lugha yetu wenyewe tuliovumbua kiswahili, tulikua na ujamaa kind of mode of production tulioivumbua wenyewe, tunaimba music wetu wenyewe tuliovumbua bongoflava etc etc
Na tuna roofing design yetu wenyewe ambayo saivi Uganda wanaiiga kwa kasi sana na Rwanda na Kunyaland wameanza kuivamia baadae waseme ni identity yao sababu huwa yanasubiri tunakuza kitu chetu baadae yaje kukiclaim 🚮
Dodoma outskirts ina mijengo ya adabu kuliko Runda
View attachment 2894735
sahii mnaokota hadi picha za nigeria sijui wapi....how desperatePole mkuu, only in kenya 👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 2894314
Watanzania tupo unique sana na the rest of Africans, tunaongea lugha yetu wenyewe tuliovumbua kiswahili, tulikua na ujamaa kind of mode of production tulioivumbua wenyewe, tunaimba music wetu wenyewe tuliovumbua bongoflava etc etc
Na tuna roofing design yetu wenyewe ambayo saivi Uganda wanaiiga kwa kasi sana na Rwanda na Kunyaland wameanza kuivamia baadae waseme ni identity yao sababu huwa yanasubiri tunakuza kitu chetu baadae yaje kukiclaim 🚮
Dodoma outskirts ina mijengo ya adabu kuliko Runda
View attachment 2894735
It seems like DODOMA is for them middle class and Rich ones, kila mtaa una mijumba ya maana,
give me a link to these picked up photos from nowhereView attachment 2894205
View attachment 2894207
Kileleshwa slums, taja mji wowote Kenya nitakuonesha slum 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Heb ngoja nikurahisishie nikuoneshe hilo eneo kwa ukaribu uone how it looks like 👇 Makumbusho
Aisee hii Dodoma mbn inakuja kwa hasira sn, hizi residential na hiyo roofing style ni ya adabu mnoo, hii Dodoma inachapa nairobi soon, ukitoa cbd nairobi ni uharo uliooza huwezi kufananisha na Dodoma 😍😍🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥Watanzania tupo unique sana na the rest of Africans, tunaongea lugha yetu wenyewe tuliovumbua kiswahili, tulikua na ujamaa kind of mode of production tulioivumbua wenyewe, tunaimba music wetu wenyewe tuliovumbua bongoflava etc etc
Na tuna roofing design yetu wenyewe ambayo saivi Uganda wanaiiga kwa kasi sana na Rwanda na Kunyaland wameanza kuivamia baadae waseme ni identity yao sababu huwa yanasubiri tunakuza kitu chetu baadae yaje kukiclaim 🚮
Dodoma outskirts ina mijengo ya adabu kuliko Runda
View attachment 2894735
Hawa wakenya ni vichaa nini, unapata wapi ujasiri wa kuilinganisha Dom na mauchafu yao?
Dodoma ni kubwa kinoma mitaa yote mipya hayo majumba unaona ni 5km to 20km from the city center.Aisee hii Dodoma mbn inakuja kwa hasira sn, hizi residential na hiyo roofing style ni ya adabu mnoo, hii Dodoma inachapa nairobi soon, ukitoa cbd nairobi ni uharo uliooza huwezi kufananisha na Dodoma 😍😍🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥
Hii maneno ya paa hata Nigeria ipo!
View: https://youtu.be/hNGhWdwkGks?si=qiv_zeT9DzYS9Rak
View: https://youtu.be/FHCGmavhO2M?si=sDhFVsCLDNBJ2ME7
It seems like DODOMA is for them middle class and Rich ones, kila mtaa una mijumba ya maana,
Kaka Dodoma ni kisanga, wale watu sijui ni pesa ya fidia za miradi waliopisha maeneo yao ndio wanafanyia hizi kufuru sijui ni nini!Maskini wote walihamishwa.?