The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Mradi wa nyumba 3500 za watumishi, hizi sio zile za Iyumbu wala Ilazo wala Mtumba hii ni Nzuguni ๐๐๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Hilo soko la DODOMA na hiyo stand ni 9km from DODOMA City center hapo kuna ujenzi wa recreation park moja kubwa U/C , DODOMA football stadium pia atajengwa hapo
Hawa wajinga kuna kitu watakuja kugundua baadae kdg kuhusu Tanzania ya sasa watauwana hawa nyie subirini muone.Hilo soko la DODOMA na hiyo stand ni 9km from DODOMA City center hapo kuna ujenzi wa recreation park moja kubwa U/C , DODOMA football stadium pia atajengwa hapo
๐ ๐ ๐ ๐ Eastlands pekee is better than Dar is a slum.Si Bora hapo Weka ya Kenya ikikatiza kwenye anga la Nairobi slum tufananishe
๐ ๐ ๐ ๐ Eastlands pekee is better than Dar is a slum.
View: https://youtu.be/_aoI14xrMu4?si=pes_hjOEwsNWhfac&t=2
Unajua kuna google earth na tunaweza pima popote unataka. Eastleigh bila kuhesabu airbase is twice as big as Kariakoo and its environs. ๐ ๐ ๐ ๐Tofauti ya Tanzania na Kenya ni kwamba vimiji vyenu ni vidogovidogo, utashangaa hapa unataja cjui cbd cjui kilimani cjui upperhill, lkn uhalisia ni mji mmoja sawa na mm nianze kusema kuna Msimbazi, Karume na Gerezani, kwa wewe usiyejua unaweza kushangaashangaa ila kiuhalisia hiyo ipo sehemu moja inayoitwa Kariakoo
Wakuu ongeeni nyie me siongei mana cku hizi wakenya kinachowasumbua ni inferiority complex, kaweka picha mwenyewe, so mpeni jibu huyu mkundustan me simo ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃUnajua kuna google earth na tunaweza pima popote unataka. Eastleigh bila kuhesabu airbase is twice as big as Kariakoo and its environs. ๐ ๐ ๐ ๐
View attachment 2895148
View attachment 2895149