Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona wetsland naona CBD naona kilimani naona upperhill au sio kweli??🀣🀣🀣🀣🀣
Naona Dar is slum yote hapa. From kijiko ya nyama to Posta
moizhusein_1642362358564836.jpg
 
Uyo kama kawaida mzee wa apartments na picha zake hizo hizo kila mwaka, watu tunazidi kuendelea kwa kuweka vitu vipya vya kisasa yeye daily ni picha hizo mpaka Dodoma imeanza ku beat nairobi kwa hivi vijumba yeye bado anavyo tu 🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Nini kipya mnaweka huku bongolala? Niwekee kitu chochote kipya hapo Jiji la uswazi ambacho halijawahiweka hapa nione
 
Dar nzima ni uswazi bongolala. From Tandale, Mazense, Buguruni, Gongo la mboto, Tandika, Vingunguti, Buza, Temeke, Tabata, Kimanzi, Mwananyamala, Makumbusho na maeneo mengine meeengi yote ni makazi mabovu
Kimanzi ni mkoa wa pwani.
Temeke kunarekebishwa,Tandika kumevunjwa kunajengwa upya sasa hivi,Makumbusho hakuna makazi mabovu,mwananyamala kunakarabatiwa kila leo.
Buguruni,Tandale na Manzese nakubali bado kubovu.
Gongo la mboto sio kubovu bali ni mji mkongwe.
Pole sana kijana
 
Dar nzima ni uswazi bongolala. From Tandale, Mazense, Buguruni, Gongo la mboto, Tandika, Vingunguti, Buza, Temeke, Tabata, Kimanzi, Mwananyamala, Makumbusho na maeneo mengine meeengi yote ni makazi mabovu
Bro Tanzania sio Kenya, huku hakuna slums hata ulie, haturuhusu slums, kweli kuna baadhi ya sehemu kuna unplanned settlement kama maeneo mengine ya Afrika lkn hatuna slums piga ua.
 
Kimanzi ni mkoa wa pwani.
Temeke kunarekebishwa,Tandika kumevunjwa kunajengwa upya sasa hivi,Makumbusho hakuna makazi mabovu,mwananyamala kunakarabatiwa kila leo.
Buguruni,Tandale na Manzese nakubali bado kubovu.
Gongo la mboto sio kubovu bali ni mji mkongwe.
Pole sana kijana
Mnashinda tu hapa mkisema 'imevunjwa', mara inarekebishwa na picha hakuna.

Secondly, zinarekebishwa na nani wakati hizo nyumba zinamilikiwa na watu binafsi.

Secondly, when you bring down houses in an entire residential area like buguruni or gongo la mboto to build new houses, where do these people seek refuge during this time? Mnatuona wajinga sana nyie
 
Bro Tanzania sio Kenya, huku hakuna slums hata ulie, haturuhusu slums, kweli kuna baadhi ya sehemu kuna unplanned settlement kama maeneo mengine ya Afrika lkn hatuna slums piga ua.
Of course hamna slums. That will make you sleep well tonight
 
Bro Tanzania sio Kenya, huku hakuna slums hata ulie, haturuhusu slums, kweli kuna baadhi ya sehemu kuna unplanned settlement kama maeneo mengine ya Afrika lkn hatuna slums piga ua.
World Bank is saying otherwise πŸ˜‚πŸ˜‚. According to World Bank 41% of Tanzanians live in slums.
 
Hvi ww unajua kwann kibera inatambulika kua ndio largest urban slum on earth unajua sababu ni nn???🀣🀣🀣🀣🀣

Au tukufundishe ????
I haven't even mentioned Kibera ila wewe ushakuja na povu zako.

Kila siku nasemanga hapa kwamba mtanganyika akidhashindwa kwenye hoja, he'll resort to mentioning Kibera and that's exactly what you've done. Keep going bongolala
 
World Bank is saying otherwise πŸ˜‚πŸ˜‚. According to World Bank 41% of Tanzanians live in slums.
Atakuambia data za kupikwa kisha ataje satellite kuwekwa angani kutafuta slums πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Very predictable people
 
Back
Top Bottom