Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Aisee hii Dodoma mbn inakuja kwa hasira sn, hizi residential na hiyo roofing style ni ya adabu mnoo, hii Dodoma inachapa nairobi soon, ukitoa cbd nairobi ni uharo uliooza huwezi kufananisha na Dodoma 😍😍🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥
Utashangaa analinganisha na ushuzi mmoja wa tako city, tako city ina zaidi ya miaka 20 inajengwaga tu wakati hizi outskirts zote kali za Dom hata miaka minne hazina zimeibuka tu juzi kati hapo, Kichaa mmoja alete outskirt ya tako city kama hii!

 
Utashangaa analinganisha na ushuzi mmoja wa tako city, tako city ina zaidi ya miaka 20 inajengwaga tu wakati hizi outskirts zote kali za Dom hata miaka minne hazina zimeibuka tu juzi kati hapo, Kichaa mmoja alete outskirt ya tako city kama hii!

View attachment 2894955
Boss huku hadi vijijini kuna estates za maana
1707111137208.jpg
 
Leo nitajipa session ya kupost mitaa ya DODOMA na nitaeleza pia ni umbali kiasi gani unaweza kuipata hiyo mitaa from Dadoma City center, walau jirani atoke tongo tongo.
Yalivyo na roho mbaya baada ya kuona Dodoma ni moto wa kuotea mbali yamejificha yanachungulia, baadaye yatamtuma chizi wao mnuka mavi aje kulinganisha Dom na tatu city 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Angalia vizuri utaona tofauti kubwa sana mapaa ya Nigeria yapo dull ni paa la square linainuliwa moja kwa moja linaenda kutengeneza kama triangle fulani tofauti na mapaa ya Tanzania yanaleta image flani ya multiple roofs on one house

Tanzania View attachment 2894939

Nigeria
View attachment 2894938
Kwa taarifa yako iwe Nigeria au Tanzania origin ya mapaa haya ni nchi zenye baridi ili barafu iteleze na kutofanya paa li-colapse kwa kuelemewa na theluji! sisi tumeiga! Ukitaka kujua hilo angalia nyumba za Kikoloni za Mjerumani Tanzania zote utaona style ya mapaa hiihii!
 
View attachment 2894952

Kaka Dodoma ni kisanga, wale watu sijui ni pesa ya fidia za miradi waliopisha maeneo yao ndio wanafanyia hizi kufuru sijui ni nini!

View attachment 2894952
Kudadadeki wakunya kila wanapogeuka Dodoma inawapelekea moto tu kila wakigeuka Dom inawapumulia kwenye vijambio vyao 🤣🤣🤣🤣🤣

Alafu nnachopendea Dom maendeleo kote kote na kimpangilio.
 
Back
Top Bottom