Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

👇 👇 😂 😂 😂 Ukiongeza ile CBD ya ghorofa tano kando ya barabara Dar is a slum inabaki bila kitu.

View attachment 2894442
Bora hiyo kuliko hii 👇👇🤣🤣
PicsArt_12-12-11.45.24.jpg
 
Nyang'au wanateseka sana kuona wanaongoza kuwa na slum kubwa Africa nzima.
All your rant is irrelevant… Nairobi is the 4th wealthiest city in Africa…behind Jozi, Cairo and Lagos…. So your argument is like crying over spilled milk….it’s unnecessary….😂😂
 
All your rant is irrelevant… Nairobi is the 4th wealthiest city in Africa…behind Jozi, Cairo and Lagos…. So your argument is like crying over spilled milk….it’s unnecessary….😂😂
Halafu wanajifanya kuongea kizungu cha ugoko. Yaani wana slum kubwa zaidi Africa nzima kwenye mji wao mkuu; khaa hata aibu hawaoni.
 
I still don't buy this. Doesn't make sense at all
Kusini nyumba hujengwa kwa mipangilio.
Viwanja siku hizi vinapimwa hununui kiholela.
Unapoona hapo kote kumejengwa basi kulibomolewa kulikua na nyumba chakavu.
 
All your rant is irrelevant… Nairobi is the 4th wealthiest city in Africa…behind Jozi, Cairo and Lagos…. So your argument is like crying over spilled milk….it’s unnecessary….😂😂
Mzee unaishi fantasy 😂😂😂 what's the GDP of Nairobi I want to tell you something Iko toboa hata top 20 wealthiest cities in Africa nafunga account now.
 
Kwan hii ni mathare gani?
Filter kibao lakin uhalisia ndo huu...
Na watu ni maskini sana wako wanaomba dollar 1 ili wale. Watoto wanachezea kwenye madampo. Single mother kama wote
Hawa wametembea saa zima ndani ya slum na hawajamaliza yote kote ni mabanda na nyumba za mabati..

View: https://youtu.be/SpFKpxupOeM?si=ll20cuwi9GermSrZ

Kwa hivyo hata kusoma hujui? Kwenye hii picha huoni ukuta wa hiyo nyumba on the bottom right imeandikwa Mathare North?
images - 2024-02-04T132726.723 (1).jpeg

Nyinyi endeleeni kuimba wimbo wa slums wakati baadhi ya hizo slums are a million times better than your uswazi hovels
 
Wewe tunajua unaumizwa sn na uwepo wa ma slums nairobi, you wish Tanzania pia ingekuwa na ma slums kama Kenya sema ndo haiwezekani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
I can't wish anything on a glorified fishing village like your yours with uswazi hovels everywhere
 
Maghorofa ht plaster hayajapigwa??
Maghorofa mengine yamejengwa kwa mabati.
Ndio maana majengo huwaangukia.
Hizo ghorofa zina choo, bafu na jikoni ndani ya nyumba, sio kama uswazi za dar is a slum, jikoni, choo na bafu ziko nje tena bila paa. Tabia yenu ni kuchungulia wanawake uchi wakioga. 😂 😂 😂 😂 😂
 
Hizo ghorofa zina choo, bafu na jikoni ndani ya nyumba, sio kama uswazi za dar is a slum, jikoni, choo na bafu ziko nje tena bila paa. Tabia yenu ni kuchungulia wanawake uchi wakioga. 😂 😂 😂 😂 😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Huna adabu we jamaa.
Hayo maghorofa yatawazika ninyi jamaa.
Asa ujenzi wa kiswahili wa zamani ndvyo ulivyo.
 
Back
Top Bottom