Lebanon Darfur, RDCSawa bongolala. Wewe tuambie jeshi lenu limeenda peace-keeping wapi wakafyatua angalau risasi mbili
Lebanon Darfur, RDCSawa bongolala. Wewe tuambie jeshi lenu limeenda peace-keeping wapi wakafyatua angalau risasi mbili
Naona Baraka medical center. I don't know what that is.Na hii sio mathare au ni kitu gani??😅😅😅
Nani hajui kama mathare ni moja ya top 10 worse slums on planet au unataka ushahidi
View attachment 2894007
Sawa kilaza wa TandaleSi ndiyo wewe apo, teacher nicxie unamiliki gari yako ya mkopo ya mwaka 70 lkn unaishi Mathare 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa hiyo hamtaki kukubali kuwa mnaongoza Africa kwa kuwa na slums kubwa, au?Naona Baraka medical center. I don't know what that is.
But assuming it's Mathare, what's the difference between it and this one?View attachment 2894069
VSView attachment 2894072
🤷🤷🤷
We kijana unachekesha.Mnashinda tu hapa mkisema 'imevunjwa', mara inarekebishwa na picha hakuna.
Secondly, zinarekebishwa na nani wakati hizo nyumba zinamilikiwa na watu binafsi.
Secondly, when you bring down houses in an entire residential area like buguruni or gongo la mboto to build new houses, where do these people seek refuge during this time? Mnatuona wajinga sana nyie
Hakuna slum kubwa Kenya kama Dar is slumKwa hiyo hamtaki kukubali kuwa mnaongoza Africa kwa kuwa na slums kubwa, au?
Hiyo Tandika.Mnashinda tu hapa mkisema 'imevunjwa', mara inarekebishwa na picha hakuna.
Secondly, zinarekebishwa na nani wakati hizo nyumba zinamilikiwa na watu binafsi.
Secondly, when you bring down houses in an entire residential area like buguruni or gongo la mboto to build new houses, where do these people seek refuge during this time? Mnatuona wajinga sana nyie
Nyumba ikishanunuliwa na matajiri hao masikini huenda kusini kuendeleza uswazi huko.We kijana unachekesha.
Nyumba hununuliwa na matajiri wanaojenga nyumba za kupangisha na Plazas.
Hao raia wakishapewa pesa wengi wao huamia njia ya kwenda kusini na njia ya morogoro road.
Na watu wa pale Jangwani walipewa viwanja Bunju.
Upuuzi mtupu, na wewe unajua ingawa unajifanya hujui😁😁Hakuna slum kubwa Kenya kama Dar is slum
I would prefer aerial photos. Secondly, the first two photos haina tofauti wowote na zile nyumba za uswaziHiyo Tandika.
Tandika unageuka kuwa mji wa kibiashara.
Kila siku huvunjwa nyumba kujengwa maduka na plaza ndogo ndogo.
Ntakuletea na Temeke.
Yale maduka kijana.I would prefer aerial photos. Secondly, the first two photos haina tofauti wowote na zile nyumba za uswazi
Naikundu surrounded with slums,leo ndio najua kuna slum inaitwa madharauWana slum inaitwa matharau? 😂😂😂
Kusini nyumba hujengwa kwa mipangilio.Nyumba ikishanunuliwa na matajiri hao masikini huenda kusini kuendeleza uswazi huko.
Assuming what you are saying is true, hebu tupe picha ya hizo plazas na nyumba mpya yaliyojengwa Mwananyamala for instance. I would prefer an aerial photo.
Secondly, ningependa pia kuona picha za mass demolition of uswazi hovels in those places to pave way for decent houses.
Aerial view.I would prefer aerial photos. Secondly, the first two photos haina tofauti wowote na zile nyumba za uswazi
Mwanaume mwenye Ako na ndevu hajui kupost pictures 😂Aerial view.
Halafu Temeke ni kubwa sana
Dawa yenu hukua YouTube. Temeke kwa ground. 👇 👇Dar imejaa vijiji 😂 😂 😂Aerial view.
Halafu Temeke ni kubwa sana
Tatizo lako ukweli huutaki hakuna mahali utakwenda kokote duniani ukakuta dar kuna slum, hakuna na hutopata 🤣🤣🤣🤣🤣I haven't even mentioned Kibera ila wewe ushakuja na povu zako.
Kila siku nasemanga hapa kwamba mtanganyika akidhashindwa kwenye hoja, he'll resort to mentioning Kibera and that's exactly what you've done. Keep going bongolala