Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiyo link yako sijaona sehemu imeandika Tanzania zaidi tu nmeona %of population living in urban areas au kama unaweza screenshot then tupia humu, msifosi tufanane 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sema tu network ndio shida hapo ulipo🤣🤣🤣🤣

Screenshot_20240204-213806_1.jpg
 
Ati sisi hatuna slums wakati 41% of all urban Tanzanians live in slums😂😂🤣

Screenshot_20240204-213806_1.jpg
 
Pole bongolala.
Most parts of Mathare are a million times better than your stinking uswazi hovels spread all over DarView attachment 2893972View attachment 2893974View attachment 2893975View attachment 2893976View attachment 2893977
Sasa linganisha na zile uswazi hovels zenu zenye bati zilizoliwa na mchwa

I already told one of you that when it comes to housing and residential areas, mnafaa kutulia kama maji ya mtungi
Kwan hii ni mathare gani?
Filter kibao lakin uhalisia ndo huu...
Na watu ni maskini sana wako wanaomba dollar 1 ili wale. Watoto wanachezea kwenye madampo. Single mother kama wote
Hawa wametembea saa zima ndani ya slum na hawajamaliza yote kote ni mabanda na nyumba za mabati..

View: https://youtu.be/SpFKpxupOeM?si=ll20cuwi9GermSrZ
 
Back
Top Bottom