Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Unapiga kelele hapa wakati polisi wenu wanazurura na probox😂Kwa Tanzania, kwenye sample ya magari 1000 unapata probox 1.
Ila Kunyalanda, kwenye sample ya magari 1000 unapata probox 900.
Unapiga kelele hapa wakati polisi wenu wanazurura na probox😂Kwa Tanzania, kwenye sample ya magari 1000 unapata probox 1.
Ila Kunyalanda, kwenye sample ya magari 1000 unapata probox 900.
in kenya especially men dont even value rice.Its considered a ladies food ........afadhali hata uturingie na chapati.But rice surely na vile tz has low quality rice zile za kuiva kama ugaliLeo sina muda wa empty talks. 😂😂😂. Wali kwa kenya ni anasa 👇View attachment 2883787ni middle class pekee ndio wako na access ya kula wali. 😂😂😂😂
Faida yao itatokana na mauzo watayofanya ya wanachokitengeneza ndio lazima iende Ghana.Faida watabeba wapeleke Ghana.
These things are new to you, not to us.Nairobi hivi vitu mnasikia kwenye radio tu
Fun City Kigamboni
View attachment 2882533
View attachment 2882534
View attachment 2882535
Uliwahi kula mchele wa Katavi,Morogoro na Mbeya.in kenya especially men dont even value rice.Its considered a ladies food ........afadhali hata uturingie na chapati.But rice surely na vile tz has low quality rice zile za kuiva kama ugali
Uliza ya mwaka gani na wapi na ziko kwa kiasi gani?
Mzee huko tulishatoka. Kwa sasa naongelea miradi. Tuliwabamiza huko tumeshahama. For now we are talking about projects. KaribuThese things are new to you, not to us.
Splash Waterworld, Nairobi
![]()
![]()
Wild Waters
![]()
Aqua Park Mombasa
![]()
Just look at the wall and you will know the kind of house the guy stays in.Halafu picha ameipiga karibu karibu tusione kitchen ilivyochoka
Sio cheti cha kaka yako umekiiba we kijana?!
Mchele kuuzwa bei inatokana na uzalishaji tu.The rice I'm buying is more expensive than any rice produced in Tanzania.
Kwa upande wa wanawake ni Japan ndie anaeongoza akifuatiwa na Spain.China and US do not consider themselves fooballing nationas on the men's side. However, they are both very good in women's football and have won several trophies. Sasa nyinyi hapo mnajiita footballing nations na hamjwai shinda kitu. 😂
Zubaa hapo na primary certificate Yako.Sio C
Sio cheti cha kaka yako umekiiba we kijana?!
Ngoja arudi akute kimekaa vibaya umueleze😡😡😡😡
Michele ya Tanzania nilijaribu once na sijawainunua tena. First, it's non aromatic and two zinashikana. I don't like rice inakaa kama ugali.Mchele kuuzwa bei inatokana na uzalishaji tu.
Mchele wa Morogoro mtamu kuliko basmati zozote unazozijua wewe ila basmat unauzwa bei kuliko wa Morogoro.
Kwahiyo bei kuwa chini haimaanishi mchele sio bora.
Unadhani Tz tunakula plastiki za Paistan na India kama ninyi??
😂😂😂😂😂.Zubaa hapo na primary certificate Yako.