Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Only 10km from CBD and voila pori limetamalaki.
Nairobi ni ndogo kama piriton.
5km from Dar CBD.

FB_IMG_1705576040392.jpg
 
Tunataka kuona sport mko mabingwa duniani ama ata mabingwa wa Africa

Senior team
Kwa vinchi vyenu hivi vya kipumbavu vya EA labda mchukue ubingwa wa michezo ya kipuuzi hiyo hiyo lakini sio soccer, soka inahitaji uwekezaji, akili na muda. Inahitaji uwe na pesa, akili na uvumilivu sio michezo mingine ya kipuuzi hata walevi wakikusanyana wanashinda, tutaendelea kuwawakilisha kila siku mana sisi ndiyo tupo serious pekeetu huu ukanda wa watu wapumbavu.
 
Back
Top Bottom