Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kingereza sikujifunza kama jinsi wanafunzi wa secondary za serikali Tanzania wanajifunza, ambopo wewe waweza kuwa mmoja wapo.

St Francis de Sales imetenga eneo maalum kwa ajili ya pre-form one ya kufundisha English huko Lububu, Tabora na ni zaidi ya mwaka. Na hakuna Mwalimu Mmatumbi na ni wakufunzi wenye more than one degree. Waalimu wangu wote ndani ya Lububu were all Indian Mapadri.

Tunapoanza Form Kihonda, Morogoro haturuhusiwi kuongea Kiswahili na hata kuanzia form one, waalimu wetu ni masister na mapadre wa Kihindi, none na hakjna aliyekuwa hana degree.

1. Inasikitisha kuona unanielezea kuhusu baadhi ya maneno ya Kiingereza toka lugha nyingine, wakati neno 'Bible' ni moja ya maneno ya kwanza tunayojifunza.
2. Lete hapa unachosema eti nachapia kinoma twitter, please lete hapa!
3. Hakuna mahala nimerefer 'The Citizen'. Nimekupa referensi mbili na zipo nyingi na yote hayo yanatumika.
4. Ulisema napotosha kwakua mzigo uko Pugu tayari, nikajaribu tu kukuweka sawa kuwa mzigo mwingi uko Germany bado, right?
umeshinda baba! Mashindano ya shule ulizopita si angle yangu! Hizo websites za kampuni zinazotengeneza mabasi/mabehewa ya ghorofa wamekosea kuziita hizo wagons double decker! Wewe na elimu yako ya St Francis de Sales kule machokoroni Tabora unajua kuliko wao!
 
Azim kadri anavyozidi kuzeeka ndivyo anavyozidi kuwa chawa, huyu siyo yule mfadhili wetu wa Simba miaka ya 80 na 90.
mimi sioni kibaya alichoongea tena kamtaja JPM kwa mapana! na katoa tahadhari Bwawa halitatosha miaka mi-5 mpaka 8 ijayo! Sasa leta hoja za Kisayansi!
 
Wanashindwa hata na malawi 😅😅😅
Screenshots_2024-01-14-15-24-44.png
 
kwa wastani Tanzania itakuwa na wanajeshi zaidi ya 200,000 kama tunaingiza askari 3000 kila mwaka kwa miaka 60 iliyopita
Hii hapa orodha. Weka kila moja 3000

BULOMBORA -KIGOMA
RWAMKOMA – MARA
KANEMBWA-KIGOMA
MSANGE – TABORA
MPWAPWA – DODOMA
RUVU – PWANI
MGAMBO – TANGA
MARAMBA – TANGA
MLALE – RUVUMA
MAFINGA – IRINGA
MTABILA – KIGOMA
MAKUYUNI – ARUSHA
ITAKA – SONGWE
LUWA – RUKWA KIBITI – PWANI
NACHINGWEA – LINDI
MILUNDIKWA – RUKWA
OLJORO – ARUSHA
MAKUTUPORA – DODOMA
 
Hizo websites za kampuni zinazotengeneza mabasi/mabehewa ya ghorofa wamekosea kuziita hizo wagons double decker!
Hizo kampuni zinatengeneza mabehewa na mabasi na hawatengenezi Kingereza. Nimekuwekea sites mbili na zipo nyingi na pia kwenye kamusi iko klea, both terms zinatumika. Nimekuwekea vyote huko mwanzo.😂😂
Wewe na elimu yako ya St Francis de Sales kule machokoroni Tabora unajua kuliko wao!
St Francis iko Morogoro, Kihonda. Tabora ni pre-form one tu. 🙄🙄
 
Mgombea Binafsi kwa nchi yetu kwa sasa bado. Usiombe ikatokea hiyo. Bado uchaguzi wetu pesa ndizo kipaumbele
Demokrasia ni gharama,kama tunahofia gharama kwanini tusibadilishe katiba tuwe na Chama Kimoja tu kama China au Russia??

Shida sisi ni wanafiki sana na hatuna msimamo wa kueleweka,yani mnataka Demokrasia na bado hapo tena mnahofia gharama
 
eleza kivp kama Trump na chama chake wanaweza kurubuniwa na Russia?
Be open minded!!! Mgombea binafsi itaondoa ile power kama ya Mwendazake kuwa yeye kama Mwenyekiti wa Chama kwahiyo anasema tu kuwa namtaka Gwajima na huyo Mpwa wangu muacheni ata kama ni kura za wajumbe zimerdhia
 
Back
Top Bottom