ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,431
- 85,268
Sasa mashule ya machokoroni niyajulie wapi? Nikitaja shule nilizopita unaweza ukakimbia! Kwa taarifa yako sikuhitaji pre Form one kwavile my command of English was already good! Hongera umeenda preform one na bado unachapia kule Twitter!Hizo kampuni zinatengeneza mabehewa na mabasi na hawatengenezi Kingereza. Nimekuwekea sites mbili na zipo nyingi na pia kwenye kamusi iko klea, both terms zinatumika. Nimekuwekea vyote huko mwanzo.😂😂
St Francis iko Morogoro, Kihonda. Tabora ni pre-form one tu. 🙄🙄
Si huwa mnasema kujua kiingereza Sio intelligence. Sasa nyinyi wenyewe mnajisifu Na kiingereza chenyewe.🤣Sasa mashule ya machokoroni niyajulie wapi? Nikitaja shule nilizopita unaweza ukakimbia! Kwa taarifa yako sikuhitaji pre Form one kwavile my command of English was already good! Hongera umeenda preform one na bado unachapia kule Twitter!
the kind of bus terminal the whole of Kunyaland can not afford!Stendi ya bus chato
View attachment 2871743
Excuses tuu za kumfariji yule aliyekuwa na PhD ila hajui Kisungu 🤣🤣Si huwa mnasema kujua kiingereza Sio intelligence. Sasa nyinyi wenyewe mnajisifu Na kiingereza chenyewe.🤣
unachokoza watu humu ndani! 😆 😆 😆Excuses tuu za kumfariji yule aliyekuwa na PhD ila hajui Kisungu 🤣🤣
Sijamtaja mtu Bali Jamaa,majamaa wako wengi eg yule mama wa take him inside nae ana PHd ila kizungu ni kizungumkuti 😁😁unachokoza watu humu ndani! 😆 😆 😆
ila hii komesha pata picha Mo pale METL arithi pasu kwa pasu incase mzee wake anavuta!Kuna nchi zipo serious na kodi sisi africa bado tunacheka cheka tu hii ikija bongo mbona vijana wataikimbia nchi
![]()
Late Samsung chairman's family sell $2 billion worth of shares to help pay huge South Korean inheritance tax
The widow of the former Samsung Electronics chairman and her two daughters sold billions worth of shares to help pay off their inheritance tax, The Korea Times reported, citing industry sourcesafrica.businessinsider.com
Nimekwambia uziweke hapa, hujaweka mpaka sasa. Taja hizo shule ambazo zilikua bora zaidi ya Seminariz kwenye late 1980s to the end of 1990s.Sasa mashule ya machokoroni niyajulie wapi? Nikitaja shule nilizopita unaweza ukakimbia! Kwa taarifa yako sikuhitaji pre Form one kwavile my command of English was already good! Hongera umeenda preform one na bado unachapia kule Twitter!
pitia posts zako sina muda wa kukagua uchapiaji wako!Nimekwambia uziweke hapa, hujaweka mpaka sasa. Taja hizo shule ambazo zilikua bora zaidi ya Seminariz kwenye late 1980s to the end of 1990s.
Hata International school ni mbinde ukute mwalimu mwenye kiwango cha degree. Mwalimu wetu wa biology kuanzia form one ni Medical Doctor, sister Francis kutoka St Anna, toka kitui cha Afya Kihonda.
Acha maigizo!
Halafu ndo wakatoa boko wewe namna hii!Nimekwambia uziweke hapa, hujaweka mpaka sasa. Taja hizo shule ambazo zilikua bora zaidi ya Seminariz kwenye late 1980s to the end of 1990s.
Hata International school ni mbinde ukute mwalimu mwenye kiwango cha degree. Mwalimu wetu wa biology kuanzia form one ni Medical Doctor, sister Francis kutoka St Anna, toka kitui cha Afya Kihonda.
Acha maigizo!
Mnabishana kuhusu lugha iliyokuja kwa meli .? Nyie wote ni watu wazima wendawazimu. Hebu acheni hizo habari.pitia posts zako sina muda wa kukagua uchapiaji wako!
Wewe ungekaa na kutulia kwakua hujui A wala B.Excuses tuu za kumfariji yule aliyekuwa na PhD ila hajui Kisungu 🤣🤣
wahutimu ndio nini? Hata Kiswahili unachapia pia?Wewe ungekaa na kutulia kwakua hujui A wala B.
Tanzania wanafunzi wanakutana na lugha ya kingereza secondary kabla ya shule private hazijaanza na hufundishwa na watu wasio na uelewa mzuri wa hiyo lugha na hakuna mkazo na matokeo yake, wahutimu wengi Tanzania wana tatizo kubwa kwenye 'Parts of Speech'.
Kujua kingereza mara nyingi imekuwa ni juhudi binafsi kwa waliotokea shule za serikali.
Shukran kwa jina.😄Halafu ndo wakatoa boko wewe namna hii!
Now huu ni utoto.wahutimu ndio nini? Hata Kiswahili unachapia pia?