Eti tunatawaliwa na hisia. Kwani nimesema uongo kuhusu serikali kuweza jenga Expressway 10?, shida yenu kazi kufocus na vitu vya hasara kiuchumi.
JHNPP pesa yake hapo unafyatua Expressway ngapi? Ila tuliamua JHNPP kutibu Tatizo la umeme.
SGR pesa yake unafyatua Expressway ngapi?
Sikia kuna miradi mingi inafanyika ambayo ni more viable na strategic ambayo tulielekeza pesa, mbeleni inaweza zalisha pesa za kujengea hiyo Expressway, ambapo huko kwenu hako Ka expressway, SGR, GTC haviwezi zalisha pesa za kuweza complete hata mradi mmoja tunaojenga Bongo.
And by the way Mchina anajenga EACLC pale ubungo, ila check sasa ownership imekaaje.
Wakenya mpo na kawaida ya kupenda sifa badala ya kuangalia kwa upana no wonder mko na hasara daily.