Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kaumia!! 😂😂
Jiulize ni kwa nini huyo mchina alichagua Nairobi kawacha Jiji la uswazi Dar
Kwan expressway inamilikiwa na nani?? Na kwann pesa zinaenda kwa wachina ??🤣🤣

Kwann wachina wataimiliki expressway over 30 years na je after 30 good years hio expressway itakua kwenyw hali gani???


Akili inakaa kichwani sio kwenye kunduthe
 
Konza City Sub-Station
Served by a 400kV line
Image

Image
 
🤣🤣🤣 Sorry to let you know this, nipo kwenye sales and marketing industry ni miaka miwili sasa, nikujuze tu bidhaa za kenya zina struggle mno kupata soko hapa Tz, bidhaa zilizokua zikifanya vizur from KE zilikua ni Uniliver, saivi bidhaa hizo hazina soko kabisa, binafsi nimesmamia marketing campaigns za bidhaa za Uniliver kama vile, Omo, Royco, Geisha, Vim, Omo bleach, Omo auto n.k. Ni juzi tu Uniliver wamefanya marketing campaigns mbili mfulululizo kwenye supermarket zote Dar, Arusha na Mwanza, na hata tunavyoongea hivi sasa bado wapo watu wanafanya marketing campaigns za bidhaa hizo. 🤣🤣🤣🤣 Mambo sio mambo mkuu
Yale yale ya sisi WaTanzania wa jamiiforums kuwa against na data....basi hawa mwananchi ni waongo....au BOT wenyewe ni waongo wa kutupwa....hongera marketing officer....😁😁😁
 
Yale yale ya sisi WaTanzania wa jamiiforums kuwa against na data....basi hawa mwananchi ni waongo....au BOT wenyewe ni waongo wa kutupwa....hongera marketing officer....😁😁😁
Mimi nakwambia ninachokiona ground kama wewe utaendelea na pang'ang"a zako, then mimi ni nani nikulazimishe?
 
Tuna kampuni nyingi za cables hapa Tanzania kama Daesung cables Dar es salaam, TANELC Arusha na na hii inayotajwa hapa.
Hakuna kitu Cha maana tunafanya wakati hadi kufikia sasa mnatumia cables zilizotengenzwa Kenya

 
Yale yale ya sisi WaTanzania wa jamiiforums kuwa against na data....basi hawa mwananchi ni waongo....au BOT wenyewe ni waongo wa kutupwa....hongera marketing officer....😁😁😁
Kumbe mnakuanga na supermarkets. 😂 😂 😂 😂
 
Mimi nakwambia ninachokiona ground kama wewe utaendelea na pang'ang"a zako, then mimi ni nani nikulazimishe?
sasa braza mimi na wewe nani analeta pang'ang'a...?? kati yako na BOT unadhani ni nani anapaswa sikilizwa...?? kama unaumia you have two options 1. karipoti TCRA kuwa gazeti la mwananchi wameandika habari za uongo....2. nenda BOT kapinge data/information zao.......🤗🤗🤗sawa bwana marketing officer...😁😁😁
 
Kumbe mnakuanga na supermarkets. 😂 😂 😂 😂
huyo ni marketing officer ambaye yupo ground so anapingana na gazeti la mwananchi lilitoa habari ya kuwa kenya imepindua meza ya biashara kwa mwaka 2023 huku wakitoa data za BOT, mimi naomba mtuzoee tu sisi waTanzania wa jukwaa hili kwani wenzetu wengi huwa hawapendi ukweli wa data na wengi wao ni 'wadhalendo'....ukitaka kuona mijadala halisi ya waTanzania uwe unapitia jukwaa la siasa.......humu huwa mndanganywa sana.....kuna kipindi niliona jamaa kapost shule ya Feza boys akasema ni hoteli..😁😁😁😁
 
huyo ni marketing officer ambaye yupo ground so anapingana na gazeti la mwananchi lilitoa habari ya kuwa kenya imepindua meza ya biashara kwa mwaka 2023 huku wakitoa data za BOT, mimi naomba mtuzoee tu sisi waTanzania wa jukwaa hili kwani wenzetu wengi huwa hawapendi ukweli wa data na wengi wao ni 'wadhalendo'....😁😁😁
We jamaa nakupiga nini.? Hizo report za bidhaa nyingi za kenya kujazana kwenye maduka ya Tz na kwamba hakuna bidhaa za Tz kwenye maduka yetu as you claimed we ulizitoa wapi we punda.? Au hizo bidhaa ni invisible.? 😂😂😂
 
Uyo kaweka tena gtc ya mchina, yani 24/7 hakuna mradi mpya zaidi ya gtc na expressway vyote vya mchina 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
You should have asked yourself why the Chinese (and many other international organizations for that matter) have chosen Nairobi to be their regional, continental and even global headquters na sio jiji lenu la uswazi Dar. Hiyo ndio swali inafaa kukuumiza kichwa badala ya kutoa povu lita kumi hapa

And just for the records, miradi mipya yamejaa but we rarely post them.

This is Altura Towers in Upper Hill, 30 floorsView attachment 2863009View attachment 2863010View attachment 2863011View attachment 2863012View attachment 2863015

This one is 1870 West Towers in Westlands. A twin tower of 30 floors eachView attachment 2863021View attachment 2863023View attachment 2863024

88Nairobi. 44 floors and the tallest residential building in East and Central AfricaView attachment 2863025

...and many more.

Show me any building under construction above 30 floors in Dar is slum ndio tuanze kuongea about new projects as you imply above
 
Back
Top Bottom