Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzee kwa Cables nashauri serikali iweke zuio kuagiza cables kuna kampuni nyingi asee.

Everwell Cables
Mastercool cables
Africab Cables
Daesung
TANELC

Kwa uchache. Ukizingatia tupo karibu na DRC tunaweza fanya mambo mzigo wa copper ukawa unaishia huku Bongo tufanye exports.

Ila shida hamna sera ya kuangalia hili.
Na pia sasa kuna Elsewedy ya Egypt wanajenga kiwanda Kigamboni
 
Wanasubiri ukraine aache vita awaletee ngano😅😅😅😅😅
Wanasubiri saud arabia nchi yenye jangwa asilimia mia awaletee mchele na unga

View: https://twitter.com/CapitalFMKenya/status/1743522812177141800?t=UpqxMXpvti5pmVPI1EFVfw&s=19

Na wanakuambia wanaexports avocado, kuna mijitu mijinga, kuangalia sifa huku nchi inapotea. Unajiuliza akili gani hii why wasiitumie ardhi kuproduce food, maana food insecurity sio mchezo. Ndio kila siku kuandamana kuharibu kila kitu kufanya nchi ikimbiwe uchumi uyumbe. Unakuta kosa ni kutumia ardhi vibaya.
 
Ivi hawa nyang'au wanatuchukuliaje?
Mnajua kwamba tuna uwezo wa kufanya kila kitu chenu huko kiporomoke tukiamua?

Kwanza onesha shamba mnazolima hizo tans mnazoexport.
Fanya uamuzi sasa hivi tuone bongolala🤣🤣

Mlishaamua kuuza viavocado zenu bila kupitia Mombasa port mkidhani mngemake a statement. Kumbe bado sana
 

🤣🤣🤣🤣 Hiyo barabara ya lami ni invisible.? Unadhani unaweza kunidanganya mimi.? 👇
Screenshot_20240106-131810_1.jpg
nime zoom hiyo barabara in each and every direction sijaona section yoyote yenye Iko na lami. 🤣🤣🤣 Lamu village center itself haina lami hata moja 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mradi uliofeli?? Hivyo ndio unajiconsole?

Among the road projects in LAPSSET are the following and all are done and dusted

1. Lamu-Witu- Garden road (113km);
2. Lamu-Garissa-Moyale (530Km);
3. Isiolo-Moyale-Hawassa (505km);
4. Isiolo-Lokichar-Nadapal-Torit-Juba (700Km);
5. Isiolo – Marsabit – Moyale (505km)

Wewe endelea kujiliwaza na story za vijiweni hapo gongo la mboto
Empty talks as usual. 🤣🤣🤣🤣 Soma hii 👇
🤣🤣🤣🤣 Hiyo barabara ya lami ni invisible.? Unadhani unaweza kunidanganya mimi.? 👇View attachment 2863506nime zoom hiyo barabara in each and every direction sijaona section yoyote yenye Iko na lami. 🤣🤣🤣 Lamu village center itself haina lami hata moja 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wachana na huyo mjinga. I have given him a list of all the road projects under LAPSSET project na urefu wao siku n kilometers. Namgonja arudi na povu round two
Wewe ni mpumbavu sana wewe. Huo mradi wa hizo barabara ni invisible..? Huyu fala ChoiceVariable chawa wa mama kizimkazi mwenyewe akipost miradi ya barabara picha zinaonekana gari zikichimbua chimbua. Wew jamaa vipi bhana.? 🤣🤣🤣
 
Mradi uliofeli?? Hivyo ndio unajiconsole?

Among the road projects in LAPSSET are the following and all are done and dusted

1. Lamu-Witu- Garden road (113km);
2. Lamu-Garissa-Moyale (530Km);
3. Isiolo-Moyale-Hawassa (505km);
4. Isiolo-Lokichar-Nadapal-Torit-Juba (700Km);
5. Isiolo – Marsabit – Moyale (505km)

Wewe endelea kujiliwaza na story za vijiweni hapo gongo la mboto
Tuwekee progress ya hiyo miradi yote, na uweke mradi ulifunguliwa lini.
 
Fanya uamuzi sasa hivi tuone bongolala🤣🤣

Mlishaamua kuuza viavocado zenu bila kupitia Mombasa port mkidhani mngemake a statement. Kumbe bado sana
Unadhani sisi wote tulio humu tungekua na mpini wa nchi hii, Kenya muda huu ingekua hali gani?
 
Back
Top Bottom