Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Leo imekua Inefficiency hahaha, ZIMBABWE, MALAWI, UGANDA, RWANDA, BURUNDI, DRC, ZAMBIA, wote wanaelekeza meli Dar Port unataka tufanyeje, na TZ yenyewe ina Cargos zake za kusport miradi yake. Tena mikubwa mikubwa.


Alafu kuna Fala anakuambia Mombasa. Amabayo imekimbiwa na Uganda.


Okay Teargas mizigo ya Mombasa Mnaipeleka Nchi gani hapo?
 
Leo imekua Inefficiency hahaha, ZIMBABWE, MALAWI, UGANDA, RWANDA, BURUNDI, DRC, ZAMBIA, wote wanaelekeza meli Dar Port unataka tufanyeje, na TZ yenyewe ina Cargos zake za kusport miradi yake. Tena mikubwa mikubwa.


Alafu kuna Fala anakuambia Mombasa. Amabayo imekimbiwa na Uganda.


Okay Teargas mizigo ya Mombasa Mnaipeleka Nchi gani hapo?
Mombasa 35M tonnes
Dar is Slum 17M tonnes.
 
Vijamaa vinajificha kwenye kivuli eti ni inefficiency, wanataka kukataa ukweli kwamba foleni inakua kubwa due to increased trade. Biashara ya Tz ni kubwa kwasasa na ndio maana foleni inaonekana kuongezeka, zamani wakati tuki record number ndogo hiyo misururu ya meli haikuonekana.
Yes increased trade imetukamata off guard we need to build more berths on Kigamboni side.
 
Kenya’s SGR Cargo Haulage Set To Hit A New High In 2023 As Usage Grows

NAIROBI, Dec. 22 (Xinhua) — Kenya’s standard gauge railway (SGR) freight service recorded an 8 percent rise in cargo hauled in the first nine months of 2023 as usage is set to hit a new high at the end of the year, the Kenya Railways Corporation (KRC) said in a report released Thursday in the capital of Nairobi.


The Chinese-built modern railway ferried 4.91 million metric tons of cargo between Nairobi and the port city of Mombasa during the period, an increase from 4.55 million metric tons of cargo in a similar period in 2022, said the KRC.

The bulk of cargo during the months to September was ferried in the third quarter, when haulage stood at 1.73 million metric tons, followed by 1.60 million metric tons in quarter two and 1.57 million metric tons in quarter one.

With the last quarter of the year being one of the busiest in terms of trade in Kenya, usage of the service is expected to surge, pushing the volumes above last year’s level.

In 2022, the train hauled 6.09 million metric tons of cargo. Up to 580,000 metric tons of cargo has been ferried every month in 2023, thus usage is expected to clock at least 6.6 million metric tons, according to the KRC.

20231222461af7d6aa2e4f5ca0bfe83b265cf55c_CnbbeeE007014_20231222_CBMFN0A001.jpg



People board a train of the Mombasa-Nairobi Standard Gauge Railway (SGR) at Ngong Station in Kenya, March 25, 2022. (Xinhua/Long Lei)

The number of passengers who used the SGR commuter service similarly rose during the period to 1.95 million, up from 1.74 million in a similar period in 2022.

source
 
Yes increased trade imetukamata off guard we need to build more berths on Kigamboni side.
This is true Bro tunahitajika kupanua bandari iwe iweze kumidu ushindi, imagine hii demand ilivyo kubwa kama tungekua tayari tumeshajidhatiti kimuindombinu sahii hawa mbwa tungekua yumewaacha nyuma sana already
 
Kijana sometimes uwe unatulia kabla ya kuleta mambo huku. Uchawa usitawale kila kitu. Fikiria kwa upana.

Yaleyale ya Uwekezaji wa kisiasa wawekezaji 1000+, mchango $1 Bil.
Ndio nazidi kukuuliza yaani unaandika nini mbona unazidi kupuyanga?

Kwako ukisikia wawekezaji unafikiriaje kichwani kwako?
 
Back
Top Bottom