chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,309
- 45,108
Hizi light industries wangeachiwa wabongo tu wapewe kipaumbele, mbongo ataishia kuwa mkulima na mchuuzi tu, viwanda kama vya plastic, godoro, beverages, packagings na other light industries serikali ingeacha kutoa incentives kama ardhi ya bure kwa foreign investors, serikali ije na program ya kuwawezesha wawekezaji wa ndani wa ngazi ya chini kuwa level ya kati, tunakoelekea miaka 20 ijayo wabongo hawatakua na uchumi wa maana