ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,426
- 85,254
Open itSimple, I'm opening a thread on that $30B terminal then we'll see who'll be vindicated as time goes because y'all seem to have your heads up your asses.
Swali la kizushi ni chama kipi au wanasiasa wapi wa nchi hii waliodhamiria na kujipanga kuleta hayo mabadiliko?!Umesema vyema sana,lakini ukweli ni kwamba CCM Imeharibu sana nchi hii.....
Wanawapumbaza watu wengi ujinga sana kuwa;Mtu akijiingiza kwenye mambo ya kuipinga huyo ni msaliti kwa Taifa hili.........Tunahitaji Chama kingine cha kisiasa kitakacho fanya kazi kwa sifa ili kuufuta U-ccm kwenye nchi hii...........kuwategemea watu kama Makonda,Nape,Makamba au Mwigulu waivushe hii nchi ni Ndoto za mchana
Mwai Sadima Dickson mwaiofhawaii mpumbavu wa ukoo wa Sadima upoo bro?Merry Christmas to y’all and your kin …. MashAllah..
Kaka tuongee na takwimu acha longolongo mkuu. Nadhani takwimu ziko wazi na vigezo vinavyotumika ni champions league sio loosers cup mkuu 😁wanaipaisha hii timu lkn haistahili kwa sasa. yanga ndio baba lao mtake msitake, mpira ni mchezo wa wazi, yanga inaongozwa kiulaya ulaya na inacheza kama timu ya ulaya makocha zaidi ya mmoja wamesema hivyo na hata wewe ndugu msomaji ni shahidi.
Mna Makelele sana wakati robo yenyewe sidhani kama mtaingia.wanaipaisha hii timu lkn haistahili kwa sasa. yanga ndio baba lao mtake msitake, mpira ni mchezo wa wazi, yanga inaongozwa kiulaya ulaya na inacheza kama timu ya ulaya makocha zaidi ya mmoja wamesema hivyo na hata wewe ndugu msomaji ni shahidi.
US haipoHuyu Rais au mkimbizi.
Hapo bado Oman, USA mara kadhaa, Uk, China. Huyu maza alipata zero form 4.Huyu Rais au mkimbizi.