Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yanga watushukuru sana Simba kwa kuwasafishia njia kimataifa.
kivipi hapo sijaelewa mkuu, mmeisafishia njia yanga kwenye lipi? kwani robo fainali nani hajaingia kati ya timu hizi mbili? yanga ndio ya kwanza kuingia robo fainali ya CAF nchi hii, kama unaongelea simba imetoa mchango mkubwa kwa timu za tz kuingia mbili hiyo sisi haituhusu mana hata kama ingekuwa tunaingiza timu moja basi miaka hii mitatu tungekuwa tunaingia sisi tu, na sio miaka hii mitatu bali miaka hii zaidi ya mitano ingeingia yanga tu, yanga hii itachukua ligi kwa miaka mingi sn mana mpk sasa hakuna timu iliyo serious kupambana na yanga 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Naomba turudie mjadala huu hapa timu zetu zikifika robo fainali champions league. Kama timu yako haitakuwepo kwenye quarter finals mjadala tunaufunga rasmi 😁
bro hakuna asiyejua kwamba kundi la yanga ni gumu sana kuliko la simba, kama yanga angewekwa kwenye kundi la simba leo hii angekuwa juu kabisa ya kundi na ni lazima ange qualify mapema kabisa, angalia kundi alilokuwepo ni la mabingwa wa nchi na bingwa wa CAF CL lkn anashika nafasi ya pili.
 
Bank zetu zinapendeza sana na zinasaidia Occupancy kwenye majengo yetu.


IMG_1756.jpeg


IMG_1753.jpeg
 
kivipi hapo sijaelewa mkuu, mmeisafishia njia yanga kwenye lipi? kwani robo fainali nani hajaingia kati ya timu hizi mbili? yanga ndio ya kwanza kuingia robo fainali ya CAF nchi hii, kama unaongelea simba imetoa mchango mkubwa kwa timu za tz kuingia mbili hiyo sisi haituhusu mana hata kama ingekuwa tunaingiza timu moja basi miaka hii mitatu tungekuwa tunaingia sisi tu, na sio miaka hii mitatu bali miaka hii zaidi ya mitano ingeingia yanga tu, yanga hii itachukua ligi kwa miaka mingi sn mana mpk sasa hakuna timu iliyo serious kupambana na yanga 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ukitaka kuleta historia Simba ndio timu pekee Tanzania iliyofika semi final champions league na wala haturingi. Hapa tunaongelea kuhusu kuwapa motivation na nyie mshiriki level za juu champion league maana kipimo chenu halisi ni mtani 😁🤣🤣🤣
 
bro hakuna asiyejua kwamba kundi la yanga ni gumu sana kuliko la simba, kama yanga angewekwa kwenye kundi la simba leo hii angekuwa juu kabisa ya kundi na ni lazima ange qualify mapema kabisa, angalia kundi alilokuwepo ni la mabingwa wa nchi na bingwa wa CAF CL lkn anashika nafasi ya pili.
Simba ameshawahi kupita katika makundi hayo hayo magumu na kufika robo fainali ugumu sio sababu wote hao ni ma champions ndio maana wanacheza champions league ulitaka ucheze na timu dhaifu kama kule confederation?
 
Ukitaka kuleta historia Simba ndio timu pekee Tanzania iliyofika semi final champions league na wala haturingi. Hapa tunaongelea kuhusu kuwapa motivation na nyie mshiriki level za juu champion league maana kipimo chenu halisi ni mtani 😁🤣🤣🤣
Semi final ipi hio unayoongelea??😅😅😅
Kombe la abiola au???😁😁😁😁😁
 
Simba ameshawahi kupita katika makundi hayo hayo magumu na kufika robo fainali ugumu sio sababu wote hao ni ma champions ndio maana wanacheza champions league ulitaka ucheze na timu dhaifu kama kule confederation?
Ajabu ni kwamba confederation mumecheza na hamujawah fika semi final🤣🤣 na harufu yake hamuijui

Hebu ntajie kundi gani gumu mulikuwepo ??
 
Unachoshindwa kuelewa ni kuwa national income in Tz is expanding while in Kenya ina shrink.
We can afford to pay our loans and mind you our loan to GDP ratio is still very small we can continue to borrow at the same rate for another 30 years without significant economic expansion to be where you guys are at the moment.
Really!? Huo ni ushabiki tu. Wallahi hujawazia hayo mambo kindani. Debt huja kwa kila taifa kwa mda wa miaka kama 5 hivi baada ya kufanya miradi mikubwa kwa deni!
 
Semi final ipi hio unayoongelea??😅😅😅
Kombe la abiola au???😁😁😁😁😁
Embu angalia link hiyo mafanikio yote ya Simba yako hapo. Angalia kwenye mafanikio ya Champions league tulicheza na Mehalla ya Misri.

 
Nimependa mjadala kuhusu Local industries investment, na kuwe na ulazima wa kuwapa local companies miradi ya chini ya 30 billion, maana huenda wakakua zaidi.

Mbona Magu aliweza kusaidia Local companies kwa baadhi ya project kama KIMARA KIBAHA SUPER HIGHWAY kwa kumpa Estim.

Hii nchi ina fursa nyingi za kupiga pesa ndefu ukitoa rasmali za nchi, ipo sehemu nzuri for regional logistic hub.

Tunaweza kua kituo za all parcels going SADC, EAC, CENTRAL AFRICA
 
Nimependa mjadala kuhusu Local industries investment, na kuwe na ulazima wa kuwapa local companies miradi ya chini ya 30 billion, maana huenda wakakua zaidi.

Mbona Magu aliweza kusaidia Local companies kwa baadhi ya project kama KIMARA KIBAHA SUPER HIGHWAY kwa kumpa Estim.

Hii nchi ina fursa nyingi za kupiga pesa ndefu ukitoa rasmali za nchi, ipo sehemu nzuri for regional logistic hub.

Tunaweza kua kituo za all parcels going SADC, EAC, CENTRAL AFRICA

View: https://twitter.com/PhentyKiria/status/1739678804086342104?t=IP6zCfowiGUswLWCa2ubuQ&s=19
 
Embu angalia link hiyo mafanikio yote ya Simba yako hapo. Angalia kwenye mafanikio ya Champions league tulicheza na Mehalla ya Misri.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Mafanikio ni kucheza robo tu hakuna mafanikio mengine
 

Brother kuna kitu huelewi au? Chuo ulisomea nini? Haujawahi kusoma hata somo moja la DS?

Shughuli yoyote ina athari, twakimu hazitoshi kuonesha matokeo chanya kwa chanzo (NCHI) tunaweza kua na takwimu nzuri ya uwekezaji, ila mishahara ya 6000 kwa siku kwa mfanyakazi WTF?

Na unakuta mwekezaji kapewa kibali cha kutolipa kodi muda flani.

Hapa ndio tunaogelea, tunataka uwekezaji unakua wa tija zaidi, mfano ukiweka kiwanda kinakua na High and positive Backwards, lateral and forward linkages.

Acha kelele za kisiasa, hayo matatizo ndio yanasababisha reserve ya dola iwe chini japokua miradi yetu inazidi reserve ya pesa za kigeni.

Mwisho tutaishia kua kama Wakunya, maana hamna chochote cha kunufaika hapo, ila wao kidogo wana afadhali wana Western investment kwa viwanda ni afadhali kuliko mchina wa chini na mhindi aliyetoka kudeki UAE.
 
Brother kuna kitu huelewi au? Chuo ulisomea nini? Haujawahi kusoma hata somo moja la DS?

Shughuli yoyote ina athari, twakimu hazitoshi kuonesha matokeo chanya kwa chanzo (NCHI) tunaweza kua na takwimu nzuri ya uwekezaji, ila mishahara ya 6000 kwa siku kwa mfanyakazi WTF?

Na unakuta mwekezaji kapewa kibali cha kutolipa kodi muda flani.

Hapa ndio tunaogelea, tunataka uwekezaji unakua wa tija zaidi, mfano ukiweka kiwanda kinakua na High and positive Backwards, lateral and forward linkages.

Acha kelele za kisiasa, hayo matatizo ndio yanasababisha reserve ya dola iwe chini japokua miradi yetu inazidi reserve ya pesa za kigeni.

Mwisho tutaishia kua kama Wakunya, maana hamna chochote cha kunufaika hapo, ila wao kidogo wana afadhali wana Western investment kwa viwanda ni afadhali kuliko mchina wa chini na mhindi aliyetoka kudeki UAE.
Kazi inaendelea 👇

View: https://youtu.be/lHfq3kUBSWY?si=7shT59OJ-ncZEe9C
 
Back
Top Bottom