The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Umesema vyema sana,lakini ukweli ni kwamba CCM Imeharibu sana nchi hii.....tena wizi mkubwa sana, nashindwa kuelewa kwnn cc wananchi tunaukubali wizi, tatizo cc watz pia tumelala sn, hatupaswi kuto i challenge govt inapotokea unyonyaji wa kifala kama huu.
Hakuna Rais hapo ni vile Tanzania bado hatujataka kuamka..........Huyu hafai ata kuwa Mbunge wa MisungwiHuyu Rais au mkimbizi.
Please do soSimple, I'm opening a thread on that $30B terminal then we'll see who'll be vindicated as time goes because y'all seem to have your heads up your asses.
Kuondoa hiyo mentality mbovu vichwani mwetu itachukua muda mrefu sana wenzetu mali ya umma wanauchungu nayo maana ndio inayo guarantee welfare yao na vizazi vijavyo wako tayari wailinde hata kwa mikono yao hawacheki na kima.Ndiyo maana nikasema, tatizo lipo kwenye uwajibikaji. Kuna nchi zinaendesha mashirika ya umma vizuri kwababu ukikosea unawajibishwa. Sisi kwetu ukivurunda unahamishwa kwenda sehemu nyingine.
Umiliki sio uendeshaji kwenye nchi zenye mfumo wa masoko ya hisa! Hili hulijui ndo maana unaropoka!Mmiliki ni yule anaye own majority ya stake kwenye campuni. Kwani Serikali ya China inamiliki % ya State grid?
Kwani wanaoendesha hayo makampuni kiserikali ya China ni malaika, si ni raia hao hao wanaoendesha serikali na mashirika binafsi?Umiliki sio uendeshaji kwenye nchi zenye mfumo wa masoko ya hisa! Hili hulijui ndo maana unaropoka!
Magu alianza kuibadilisha hii metality ila wakamuwahi.Kuondoa hiyo mentality mbovu vichwani mwetu itachukua muda mrefu sana wenzetu mali ya umma wanauchungu nayo maana ndio inayo guarantee welfare yao na vizazi vijavyo wako tayari wailinde hata kwa mikono yao hawacheki na kima.
Hii mentality iko inborn haibadiliki kirahisi mpaka tuwe na makovu kwanza labda ndio tutapata mwanga on the way forwards.Magu alianza kuibadilisha hii metality ila wakamuwahi.
Ohk sawa basi! Sisi ni wao!Kwani wanaoendesha hayo makampuni kiserikali ya China ni malaika, si ni raia hao hao wanaoendesha serikali na mashirika binafsi?
Hiv hii overpass ya SGR vingunguti imefikia wap.. sijafatilia mda tokea nilivyoenda na kupiga picha hapa
Ndio maana inashauriwa juhudi kuwa institutionalised alilofanya tulijuwa litakosa mwendelezo!Magu alianza kuibadilisha hii metality ila wakamuwahi.
Ni kweli inachukua muda, unaanza kuminya kizazi cha sasa, kizazi kinachokuja kikiona wakubwa wao wanawajibika, kinafuata mlolongo, bila kujuwa wenzao walipelekwa kwa fimbo..Hii mentality iko inborn haibadiliki kirahisi mpaka tuwe na makovu kwanza labda ndio tutapata mwanga on the way forwards.
Sasa hivi pamewekwa sawa pamesogea karibu kabisa na Mwendokasi awamu ya Tatu.Hiv hii overpass ya SGR vingunguti imefikia wap.. sijafatilia mda tokea nilivyoenda na kupiga picha hapa
View attachment 2852258